Sabby: Hamisa Pigania Ndoa Sasa Kwa Diamond (Video)
![]() |
| Sabrina Omary ‘Sabby Angel’ |
MSANII wa filamu Bongo, Sabrina Omary ‘Sabby Angel’ amemtaka mwanamitindo Bongo, Hamisa Mobetto kupigania ndoa kwa Mbongo Fleva aliyezaa
naye, sababu dini yake inamruhusu kuwa mke wa pili.
| Sabrina Omary ‘Sabby Angel’ |
Boss
Lady’ anapaswa kukomaa hadi ndoa ifungwe. “Namshauri Hamisa asikubali
kirahisi kumkosa baba wa mtoto wake, kama vipi huyo jamaa awaoe wote
wawili Zari mke mkubwa na Hamisa mke mdogo maana dini imeridhia wake
hadi wanne,”alisema Sabby.

Post a Comment