Pepo la Picha za Utupu Lamvaa Mwanamuziki Malaika

MUNGU WANGU! Mastaa wa Bongo ni kama wamevamiwa na pepo la picha za utupu au zinazoonyesha baadhi ya viungo vyao vya siri. Baada ya Ben Pol kuanza, sasa ni zamu ya Malaika anayetamba na ngoma yake ya Rarua Rarua.
- Picha aliyoposti
Na: Isri Mohamed, (GPL)
Post a Comment