Maunda Zorro ‘Abaniwa’ Na Familia! Kwa sasa Analea watoto

- Mwanamuziki mwenye sauti ya ‘kusahaulisha kero za baba mwenye nyumba’, Maunda Zorro.

Akichonga na Star Mix, Maunda aliyewahi kubamba na Wimbo wa Mapenzi ya Wawili alisema; “Kwa sasa nalea watoto na pia mume wangu anahitaji muda wangu mwingi, hivyo unakuta nashindwa kujigawa kwa namna ambavyo watu wanataka lakini Inshallah Mungu akijaalia nitaimba tena, ingawa siwezi kuhakikisha kwa asilimia zote,” alisema Maunda
Post a Comment