ad

ad

Mashabiki Wamcharukia Ben Pol Baada ya Kupost Picha Chafu Instagram


                                             Picha ya kwanza aliyopost Ben Pol                                           Picha ya pili aliyopost Ben Pol
Staa wa Bongo Fleva, Ben Pol ameamua kuachia picha za utata katika akauti yake ya Instagram hivi karibuni baada ya kufuta picha zake zilizokuwa katika ukurasa wake huo.
Mashabiki zake baada ya kuweka picha hizo wote walimshambulia wakimuomba kuziondoa katika page yake lakini mpaka sasa picha hizo zimeendelea kuwepo kwenye page yake hiyo.
Mtandao huu tulimpigia simu staa huyu kujua nini kinaendelea lakini simu yake iliita bila kupokelewa na baada ya muda mfupi alijibu akiomba kutumiwa sms tu, tulipomtumia sms ya kujua kinachoendelea baada ya kuachia picha hizo hakujibu hiyo meseji.

No comments

Powered by Blogger.