ad

ad

Majeruhi wa ajali Arusha walivyochukuliwa KIA kwenda Marekani


Watoto watatu ambao ni Majeruhi wa ajali ya basi la Wanafunzi iliyoua 32 Karatu Arusha wamesafirishwa kwenda Marekani kwa matibabu baada ya kuchukuliwa na Ndege Maalum ya Marekani iliyotolewa bure na mfuko Msamaria (SAMARITAN’S PURSE), hapa chini ni picha na video






No comments

Powered by Blogger.