Mgogoro wa Uongozi Unaofukuta ndani ya CUF Unaendelea Kuchukua sura Mpya

Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dsm M/kiti wa kamati hiyo Julius Mtatiro amesema mabadiliko hayo hawayatambui huku pia wakishutumu msajili wa vyama vya siasa kwa kumtambua Prof.Lipumba kama m/kiti halali wa CUF kwa madai tayari wameshamvua uanachama.
Wabunge wa chama hicho wameomba kukutana na msajili wa vyama vya siasa kwa ajili ya kuzungumzia mgogoro huo.
Post a Comment