Picha za Utupu za Mke wa mgombea urais wa Marekani Donald Trump Zavuja!
IMEVUJAA hatimaye picha za uchi za mke wa mgombea urais wa Marekani kwa tiketi ya Chama cha Republican, Donald Trump aitwaye Melania Trump zimevujaa na kusambaa kwa kasi kwenye mitandao mingi ya kijamii.
Picha hizo zilipigwa tangu mwaka 1995 miaka mitatu kabla ya kukutana na Trump, wakati huo Melania akiwa na umri wa miaka 25 na kuchapishwa kwa mara ya kwanza kwenye gazeti la New York Post mwishoni mwa wiki iliyopita na kurudiwa tena kwenye gazeti la jana Jumatatu.



Picha za utupu za mke wa Trump zilizovuja mitandaoni.
We went to Times Square to see what New Yorkers had to say about our Melania Trump cover https://t.co/v2QUSEvUBlhttps://t.co/zrnDElMOtw— New York Post (@nypost) August 1, 2016

Gazeti lililotoa picha hizo.

Post a Comment