ad

ad

Ujenzi barabara ya Mwenge-Morocco Dar waendelea kwa kasi



1 
Gari maalum la kusambaza kokoto likiwa kazini.
2Taswira ya barabara ya Mwenge kuelekea Morocco Dar ilivyo.
3.Gari la kumwaga maji likipita kwenye eneo la ujenzi huo.
4Usambazaji wa kokoto kwenye barabara hiyo ukiendelea.
6. 7. 8Taswira nyingine ya barabara hiyo.
UJENZI wa barabara ya Mwenge-Moroco jijini Dar ambao unaonekana kufanyika kwa kasi, hivi sasa baadhi ya maeneo yameanza kuwekewa kokoto, tayari kwa kumwaga lami baada ya hatua za mwanzo za kuchimba, kushindilia ardhi na kuweka kokoto kuonekana zimekamilika.
(PICHA: DENIS MTIMA/GPL)

No comments

Powered by Blogger.