Pam D achomoa dili la kuuza unga

MSANII wa muziki Bongo, Pamella Daffa ‘Pam D’ amefunguka kuwa hivi karibuni kuna jamaa alimfuata na na kutaka amuingize kwenye dili la kuuza unga lakini akamchomolea. Akipiga Pam D alisema: “Yule “Yule jamaa alinifuata akaniambia eti kwa kuwa nakutana na mastaa wengi, anipe
mchongo huo. Kwanza nilimshangaa sana, nikajiuliza kwa nini anifuate mimi. “Kwa kuwa ni
biashara ambayo sitaki hata kuisikia, nilimjia juu sana, nilifanya hivyo kwa kuwa nilijua anataka kuniingiza
kwenye matatizo, mimi na unga wapi na wapi bwana.”
Post a Comment