ad

ad

Chadema washinda umeya Ilala leo



1
Meya wa Ilala, Charles Kuveko (Chadema) akiongea baada ya kushinda (aliyesimama wa pili kushoto).
mbowe2Mwenyekiti wa Chadema Taifa Freeman Mbowe akizungumza na wanahabari.
3Naibu Katibu Mkuu wa CUF, Magdalena Sakaya  akizungumza na wanahabari.
Uchaguzi wa meya wa halmashauri wa Ilala jijini Dar es Salaam umefanyika leo  ambapo Charles Kuveko (Chadema) ameshinda umeya Ilala  kwa kura 31 na Naibu Meya ni Omary Kumbilyamoto (CUF), kura 31. Madiwani wa Chama cha Mapinduzi (CCM) hawakupiga kura kutokana na madiwani kutoka Zanzibar kukataliwa kuingia ukumbini kupiga kura.
(PICHA: DEOGRATIOUS MONGERA/GPL)

No comments

Powered by Blogger.