ad

ad

Breaking news: Hatimaye Chadema washinda kesi ya Mawazo...



Alphonce Mawazo enzi za uhai wake.
HATIMAYE Mahakama Kuu jijini Mwanza imetoa hukumu ambapo Chadema na familia ya Mwenyekiti wa Chadema mkoani, Geita Alphonce Mawazo wameshinda kesi hivyo wameruhusiwa kuendelea na taratibu za kuaga mwili wa marehemu na kuzika, pia Polisi watoe ulinzi kama ilivyo wajibu wao kwa kuzingatia mipaka ya kazi yao.
Powered by Blogger.