Breaking News: Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Celina Kombani amefariki dunia India
#TANZIA
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Celina
Kombani amefariki dunia wakati akipatiwa matibabu huko nchini India.
Mungua ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi
Mungua ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi

Post a Comment