VAN PERSIE ATUA UTURUKI
Mashabiki wa manchester United wengi
walijua kuwa Van Persie anaondoka kuelekea Fenabashe lakini kwa mtoto
mdogo mwingereza wa miaka minne Louis Diamond hakufahamu kuwa kipenzi
chake Robin Van Persie anaondoka mpaka pale alipoambiwa na wazazi wake
kwamba mpachika magoli Robin alikuwa tayari kuelekea uturuki.
Hivi sasa
waturuki wameanzisha kampeni ya kuchangishana pesa ili mtoto huyo ambaye
video yake imesambaa mitandaoni na kutizamwa na watu wengi aletwe
Uturuki kumshuhudia mchezaji huyo.
Shabiki huyo mdogo wa miaka minne alipoambiwa na wazazi wake kuwa Van Persie alirekodiwa na baba yake akilia sana na video yake imesambaa mitandaoni duniani kote.
"hatujamwambia kama video yake imesambaa duniani, tumemwambia tu kuwa tumewaonyesha marafiki zake tu hapa mtaani tu hajui kama ni dunia nzima, mimi na mke wangu tuna hamu ya kumwona atakavyocheka tukimwonyesha video hii miaka kumi baadaye" Alisema baba wa mtoto huyo.
Kuna uwezekano pesa iliyopangwa kuchangwa mashabiki wa uturuki ikazidi kiwango cha pauni 1200 za uingereza kilichokusudiwa kumsafirisha mtoto huyo na baba yake ili kuja kushuhudia mechi ya kwanza ya Van Persie nchini uturuki.
Ni vema pia mtoto akapozwa kwa kuambiwa kuwa kinakuja chuma kipya kutoka southampton, Morgan Shineidelini ambaye atafanya vipimo Man U.
Kwa upande mwingine Liverpool inachukua kitita cha pauni milioni 49 kumuuza Raheem Sterlin kuelekea Man City na kumfanya kijana huyo mdogo wa miaka 20 kuwa mchezaji wa ghali zaidi katika england.
Robin
van Persie's career at Manchester United is drawing to a close after
the Fenerbahce-bound striker touched down in Turkey ahead of his move to
the club.
Van Persie was all smiles as he landed at the Sabhia Gokcen International Airport in Istanbul on Sunday afternoon.
The
31-year-old's arrival in the Turkish capital was greeted by a fanfare
of Fenerbahce supporters who were eager to meet their soon-to-be
forward.
Robin van Persie was all smiles as he landed in Turkey on Sunday afternoon ahead of his Fenerbahce move
Van Persie was given a hero's welcome as he landed at the Sabhia Gokcen International Airport in Istanbul
The Manchester United forward gave a thumbs up to his soon-to-be new Fenebahce supporters
The Fenerbahce supporters arrived in their numbers to have a glance at the Holland international
Fanfare over the 31-year-old included flares as supporters of the Turkish giants celebrated the imminent move

Post a Comment