NGOMA NA ZUTAH WALIVYOANZA KAZI YANGA SC
| Mshambuliaji mpya wa Yanga SC, Donald Ngoma kulia akipasha wakati wa mazoezi ya asubuhi ya jana timu Uwanja wa Karume, Dar es Salaam |
| Beki mpya wa Yanga SC, Joseph Tetteh Zutah akipasha Karume |
| Zutah aliye juu akionyesha uwezo wake kwa wenzake |
| Kpah Sherman akimiliki mpira katikati ya wenzake |
| Oscar Joshua (kushoto) akitafuta maarifa ya kumtoka Donald Ngoma |
Post a Comment