JAMANI DADA MARTHA LOOO!-17

ILIPOISHIA
Roi alichanganyikiwa, akatamani kulia kwani kuna ufundi alikuwa akifanyiwa na mama Anna ulimzuzua akili. Mama Anna sijui alifanyaje, Roi akahisi anaondoka kwenye ulimwengu huu na kwenda seyemu nyingine…
“Noo…noo Martha noo. Hebu tuongee kwanza please,” alisema Roi kwa kupiga ukelele kidogo. Mama Anna akatuliza mpira katikati ya uwanja…
JIACHIE KIVYAKO…
Roi alichanganyikiwa, akatamani kulia kwani kuna ufundi alikuwa akifanyiwa na mama Anna ulimzuzua akili. Mama Anna sijui alifanyaje, Roi akahisi anaondoka kwenye ulimwengu huu na kwenda seyemu nyingine…
“Noo…noo Martha noo. Hebu tuongee kwanza please,” alisema Roi kwa kupiga ukelele kidogo. Mama Anna akatuliza mpira katikati ya uwanja…
JIACHIE KIVYAKO…
“Niambie baba,” alisema Martha…
“Martha,” aliita Roi…
“Sema baba nakusikiliza wewe.”
Roi hakuwahi kuitwa baba na Martha wake hata siku moja. Kuitwa na Martha huyu mwizi kwake pia ilikuwa ni jambo jipya…
“Martha,” aliita Roi…
“Sema baba nakusikiliza wewe.”
Roi hakuwahi kuitwa baba na Martha wake hata siku moja. Kuitwa na Martha huyu mwizi kwake pia ilikuwa ni jambo jipya…
“Huna mwanaume mwingine?” aliuliza Roi kwa sauti iliyojaa umakini wa hali ya juu…
“Aaah! Sina mbona. Mimi niponipo tu,” alisema mama Anna huku akianzisha mchezo polepole kama anayesema kumbe unachotaka kusema ni hicho tu…
“Ngoja Martha…ngoja…”
“Aaah! Sina mbona. Mimi niponipo tu,” alisema mama Anna huku akianzisha mchezo polepole kama anayesema kumbe unachotaka kusema ni hicho tu…
“Ngoja Martha…ngoja…”
Mama Anna akatuliza mpira tena lakini si kwa kusimama moja kwa moja, kwa mbali alicheza…
“Mimi nataka nikuoe wewe Martha…please nikubalie mama.”
Hapo ndipo alipokuwa akipataka mama Anna, kumzidi nguvu wajina wake Martha kama alivyowaambia wapangaji wenzake.
“Mimi nataka nikuoe wewe Martha…please nikubalie mama.”
Hapo ndipo alipokuwa akipataka mama Anna, kumzidi nguvu wajina wake Martha kama alivyowaambia wapangaji wenzake.
“Mh! Itawezekana kweli? Nahisi itakuwa ngumu baba angu,” alisema mama Anna kwa gia ya kutotaka kuonekana mrahisi…
“Tatizo litakuwa wapi kwani?”
“Si kwa Martha! Si umesema ndiyo unataka ufunge naye ndoa?”
“Nimabadili mawazo Martha, amini hivyo.”
“Tatizo litakuwa wapi kwani?”
“Si kwa Martha! Si umesema ndiyo unataka ufunge naye ndoa?”
“Nimabadili mawazo Martha, amini hivyo.”
Martha aliendelea kukataa lakini huku akiendelea na mchezo kwa staili ya kushambulia polepole, Roi akajishindwa na kutangaza kuvunja dafu lake huku akikaribishwa.
Huku akijua Roi ameshavunja dafu, mama Anna alibadili upande bila kusubiri mapumziko, sasa Roi akawa anashambulia kutoka upande mwingine ambao awali alikuwa akizuia asifungwe.
Huku akijua Roi ameshavunja dafu, mama Anna alibadili upande bila kusubiri mapumziko, sasa Roi akawa anashambulia kutoka upande mwingine ambao awali alikuwa akizuia asifungwe.
Hilo lilimfanya Roi kupata joto tena na hivyo kumudu mchezo kiasi kwamba alijihisi kama hakuvunja dafu tangu aanze. Mama Anna alipotangaza kuvunja dafu yeye, alitumia ufundi wa hali ya juu ikiwemo kuchezesha sauti yake kwa mahaba mazito na kumbembeleza Roi ambapo sekunde kadhaa mbele akavunja dafu.
Wote walikuwa wakihema kwa kasi kutokana na mechi kuwa ya vuta nikuvute mpaka dakika za mwisho ambapo matokeo yalikuwa moja kwa moja.
“Da! Martha, sijategemea ujue,” alisema Roi akiwa anajipindua pale kitandani…
“Hukutegemea nini?”
“Kama upo hivyo.”
“Da! Martha, sijategemea ujue,” alisema Roi akiwa anajipindua pale kitandani…
“Hukutegemea nini?”
“Kama upo hivyo.”
“Kwani nipoje?”
“Da! We mwenyewe unajijua,” alisema Roi kisha akambusu mama Anna ambaye naye alitoa sauti ya hisia ya mapenzi.
***
Ilikuwa saa kumi na mbili na nusu, wawili hao walishacheza mzunguko wa pili na kutoka sare ya moja kwa moja kama ilivyokuwa kwenye mzunguko wa kwanza.
“Sasa itakuaje?” aliuliza Roi…
“Kuhusu?”
“Da! We mwenyewe unajijua,” alisema Roi kisha akambusu mama Anna ambaye naye alitoa sauti ya hisia ya mapenzi.
***
Ilikuwa saa kumi na mbili na nusu, wawili hao walishacheza mzunguko wa pili na kutoka sare ya moja kwa moja kama ilivyokuwa kwenye mzunguko wa kwanza.
“Sasa itakuaje?” aliuliza Roi…
“Kuhusu?”
“Si tunaondoka?”
“Kurudi kule?”
“Yes.”
“Sawa.”
Walitoka kitandani wote, wakaenda kuoga wote, wakavaa, wakatoka wote. Roi aliendesha gari lakini kutokana na foleni, walifika kwa Martha saa moja na nusu usiku.
“Kurudi kule?”
“Yes.”
“Sawa.”
Walitoka kitandani wote, wakaenda kuoga wote, wakavaa, wakatoka wote. Roi aliendesha gari lakini kutokana na foleni, walifika kwa Martha saa moja na nusu usiku.
Bila woga, Roi alifika na mama Anna akiwa ndani ya gari mpaka nje. Wakatulia kwanza kuangalia hali ya hewa, kisha mama Anna akashuka baada ya kujiridhisha kwamba hakukuwa na mashuhuda maeneo yale.
Alianza kuingia ndani mama Anna, Roi akibaki ndani ya gari. Akapitiliza hadi kwenye chumba cha shoga yake mmoja, anaitwa Madam May ambako pia alimkuta shoga mwingine, mama Eli…
“Tayari,” alisema mama Anna…
“Tayari,” alisema mama Anna…
“Acha uongo wako bwana,” walisema wenzake…
“Ohoo! Naapa, tayari. Nimekuja naye mpaka hapo nje, nyie subirini mtasikia akiingia…
“Mlikuwa hotelini?” mama Eli aliuliza kwa sauti ya umbeya…
“Kwake.”
“Ohoo! Naapa, tayari. Nimekuja naye mpaka hapo nje, nyie subirini mtasikia akiingia…
“Mlikuwa hotelini?” mama Eli aliuliza kwa sauti ya umbeya…
“Kwake.”
“Mm! Huo sasa uongo uliopitiliza,” alisema Madam May.
“Ngoja nimtumie ujumbe halafu ajibu, ndiyo mtaamini,” alisema mama Anna huku akiandika ujumbe wa simu…
“Baby, nimefurahi sana kwa mechi ya leo. Halafu mechi ya kuichezea nyumbani kwako kama vile ni nzuri kuliko gesti au hotelini. Nimeipenda sana.”
“Ngoja nimtumie ujumbe halafu ajibu, ndiyo mtaamini,” alisema mama Anna huku akiandika ujumbe wa simu…
“Baby, nimefurahi sana kwa mechi ya leo. Halafu mechi ya kuichezea nyumbani kwako kama vile ni nzuri kuliko gesti au hotelini. Nimeipenda sana.”
Je, unajua walikuwa wakienda wapi? Usikose kusoma chombezo hili.
Post a Comment