JAMANI DADA MARTHA LOOO!-13

ILIPOISHIA:
“Ha! Ha! Una maana...”
Kabla hajamaliza, Roi alifungua mlango ili atoke chumbani humo...
JAMPU NAYO MWENYEWE...
Martha aliruka kama golikipa, akamdaka Roi ambaye tayari alikuwa katikati ya mlango...
“Baby noo! Si vizuri jamani, hebu rudi kwanza,” alisema Martha kwa sauti tamu huku akiwa amemlegezea macho Roi.
Roi alirudi, akafikia kukaa kitandani...
“Unasemaje sista?”
“Hivi baby kwa hali niliyonayo kweli unaweza kuniacha hivihivi jamani nateseka mwenzako na wewe kama mwanaume tena rijali upo ndani ya chumba!
“Afadhali ingekuwa tumekaa hotelini kama muda ule. Lakini ndani kabisa ndani, tena kitandani, wawili tu na wala sisi si ndugu wa damu moja ni ndugu wa kujitakia, unaniacha nateseka. Hii siyo fea Roi.”
Roi alimwangalia Martha kwa macho yaliyojaa kicheko lakini cha kujibana, akasema...
“Martha, mimi na wewe, wawili tu bila kuwepo kwa mtu mwingine si tumekubaliana ukaka na udada urudi kama awali lakini, au?”
“Ndiyo lakini iwe baada ya leo. Leo tumalizane kwanza kama wapenzi halafu kuanzia kesho tunaendelea na ukaka na udada wetu mi mwenzio niko vibaya sana, hujui tu.”
“Noo Martha, noo! Mimi kwanza napenda sana udada na ukaka wetu, hivyo katika mazingira hayahaya magumu ndiyo tujikomaze,” alisema Roi kwa sauti iliyokosa hali ya kujiamini.
“Hapana Roi...hapana jamani, please usinifanyie hivi,” alisema Martha huku akipiga magoti kwa unyenyekevu, Roi akajua anataka kumwomba msamaha lakini sivyo, Martha akapeleka mkono na kushika maiki ya Roi ili aanze kuimba nyimbo za mahaba.
Roi alilazimika kujichojoa mwenyewe huku akigugumia ndani kwa ndani kuashiria kwamba alikuwa katika wakati mgumu wa hisia za kimapenzi.Kwa vile Martha alikuwa amepiga magoti, alikuwa akiimba kwa kutumia maiki hiyo huku akimwangalia Roi kwa macho ya kulegea.
Roi akawa hoi bin taaban, akamshika mikono Martha na kumvutia kwake huku akiwa anatetemeka miguu.
“Una...una...” alishindwa kumaliza kusema Roi akajikuta amebaki akiweweseka, akamkodolea macho Martha, Martha akasimama, akampandisha Roi kitandani na yeye akafuatia.
Waligalagazana pale kitandani kwa dakika kadhaa huku kila mmoja akihema kwa kasi yake, Martha hakuwa tayari kupoteza muda, akamuweka sawa Roi ili waingie uwanjani kuanza kuicheza mechi.
Martha aliamini akitumia ujuzi wake wote, anaweza kumfanya Roi akaachana na habari za ukaka na udada kwani moyoni mwake alianza kuona ukaka na udada kwa Roi utampotezea mambo mengi sana...
“Sista...aaa,” aliita kimahabamahaba Roi...
“Niambie...”
“Mi nina wazo sijui kama utanielewa lakini...”
“Liseme...”
“Tuachane na udada na ukaka kabisa, tubaki kuwa wapenzi, huenda siku moja tutakuwa mke na mume...”
“Naunga mkono baby, sitaki tena ukaka kutoka kwako...”
“Na mimi sitaki tena udada kutoka kwako.”
Martha alianza kupandisha ‘mashetani’ yake ya mahaba. Alitoa mlio wa kumtoa simba kwenye msitu mkubwa huku akisema anachotaka kukifanya. Akapokelewa kwa maneno matamu na Roi.
Walitulia kidogo kuvuta kasi na Martha kujiweka fiti, wakaanza tena lakini safari hii walibadili mapozi, wakaenda na pozi la muunga mboga jikoni, Roi hakufika mbali akatangaza nia.
Sasa walikuwa wamelala wote wakiangalia juu...
“Baby,” aliita Roi...
“Niambie sweet wa mimi!”
“Unajua nakupenda sana, si kama dada lakini bali kama mpenzi wangu.”
“Hata mimi si kama kaka sasa ila kama my baby.”
“Mbali na mwanaume uliyezaa naye ambaye uliniambia alikuacha, una mchumba? Maana hatukuwahi kuliongelea hili hata siku moja.”
“Ni kweli hatujawahi kuliongea hili hata siku moja mimi na wewe, nina mwanaume lakini si mchumba wangu.”
Roi alishtuka, akainuka na kukaa kitandani...
“Vipi tena baby wangu?”
“Nimeshtuka, una mtu?”
“Yes!”
“Ina maana siku ile mpaka nakuja kwako usiku ukasema una kiu, kumbe una mtu?”
“Ninaye sweet lakini alisafiri siku zile, alikuwa Zambia lakini amerudi, yupo mjini kwa sasa.”
“Anaishi wapi?”
“Anaishi wapi kivipi?”
“Huyo jamaa yako anaishi wapi hapa jijini Dar es Salaam?”
“Kwangu.”
Roi alitoka kitandani, akasimama akihema kwa kasi...
“Martha acha mambo ya utani bwana.”
“Sina utani, anaishi na mimi pale.”
“Mh! Kumbe una mume Martha?”
“Ndiyo Roi. Ndiyo maana uliponiuliza nina mchumba nikakwambia sina kwa sababu nina mume. Sikutaka kukwambia siku za kwanza kwa sababu zangu binafsi.”
Je, unajua nini kiliendelea? Usikose kusoma chombezo hili tamu.
Baada ya kusoma simulizi hii akikisha unashare kuwawezesha marafiki zako kwenda na sisi katika simulizi hii hapa. Share tukutumie sehemu inayofuata mbele.
ITAENDELEA HAPA HAPA USIKOSE
Post a Comment