ESTER AZIDI KUTESWA NA TUMBO LA BIA
KUNENEPEANA! Kuvimbiana na kuongezeka kwa ukubwa wa
tumbo kunazidi kumpa wakati mgumu msanii ‘anayechungulia’ katika gemu la
uigizaji, Ester Kiama kufuatia kusongwa na madai kuwa ‘amebugia kijusi’
(mjamzito) huku Kulwa Kikumba ‘Dude’ akidaiwa kuwa baba kijacho.
Akikutanisha ‘lips’ na paparazi wetu hivi karibuni, Ester alisema licha ya kuwaeleza watu kwamba ukubwa wa tumbo lake unatokana na utumiaji wa vinywaji vyenye ngano (kama bia) na uvivu wa kufanya mazoezi, lakini wao wamekuwa wakimkomalia kuwa ni mimba.
“Watu wengi wanasema nina mimba. Wengine wanakwenda mbele zaidi wakinipongeza kwa kumbebea mimba Dude. Yaani napata wakati mgumu,” alisema Ester.
Akikutanisha ‘lips’ na paparazi wetu hivi karibuni, Ester alisema licha ya kuwaeleza watu kwamba ukubwa wa tumbo lake unatokana na utumiaji wa vinywaji vyenye ngano (kama bia) na uvivu wa kufanya mazoezi, lakini wao wamekuwa wakimkomalia kuwa ni mimba.
“Watu wengi wanasema nina mimba. Wengine wanakwenda mbele zaidi wakinipongeza kwa kumbebea mimba Dude. Yaani napata wakati mgumu,” alisema Ester.

Post a Comment