JAMANI DADA MARTHA... LOOO!- 5

ILIPOISHIA
Walianza maongezi ya mbali kwa mbali, kila mmoja akiangalia ukutani. Mwishowe Liz alilala chali, nusu ya mwili kuanzia kiunoni kwenda juu kitandani, nusu iliyobaki ikining’inia chini...
“Umechoka nini sista?” aliuliza Roi...
“Nahisi kusinzia bro...”
“Hata mimi pia,” alisema Roi na kulala kama alivyolala Liz, wakakutana vichwa!
SHUKA NAYO SASA...
“Basi tulale ili tupunguze usingizi japo kidogo tu!”
“Sawa sista.”
“Lakini tulale hivihivi,” alisema Liz kwa sauti iliyokuwa ikienda kwenye kukatika.
Ulipita ukimya kidogo, ni lazima wote, kila mmoja alikuwa kwenye mawazo yake anayoyajua yeye...
“Huu mtihani...tena mtihani mkubwa sana,” alisema moyoni Roi...
“Halafu alivyovaa sasa...yaani mtu anajua wazi kwamba anakuja kukutana na mwanaume ambaye si ndugu yake, tena chumbani halafu anavaa nguo za kuonesha mwili namna hii? Kwa kweli hajanitendea haki,” Roi aliendelea kusema moyoni mwake...
“Lakini inataka moyo kweli! Na hivi sijaduu siku nyingi halafu nakutana na mwanaume, tena gesti lazima niwe na roho ngumu sana,” aliwaza Liz.
Wakati wakiendelea kuwaza hayo, Roi alipitiwa na usingizi mzito kwani alisikika akikoroma moja kwa moja...
“Kroooo...kroooo...”
“Mh! Kweli alikuwa na usingizi,” alisema Liz baada ya kumsikia Roi akikoroma.
Katika kulala huko, Roi alifika mahali akakunja miguu, akapanda juu kidogo na kurusha mkono pembeni, ukaangukia kwenye paja moja la Liz...
“Mh! Huyu naye...ameanza sasa...” alisema Liz. Akautoa mkono huo na kuuweka pembeni kwa taratibu kabisa.
Roi hakuona sababu ya kuendelea kulala huku akining’inia, alipanda moja kwa moja mzimamzima na kulala sanjari na Liz sasa...
“Mh! Kaka...bro...” aliita Liz akimtingisha, Roi akaamka...
“Mh! Mh!”
“Mbona unakiuka sasa?”
“Nakiuka nini sista?” aliuliza Roi huku akijifuta usoni...
“Unapanda kulala juu...”
“Ah! Usingizi, jana nilichelewa kulala ndiyo maana. Panda basi na wewe ulale.”
“Aaah! Bro, si utavuka mipaka jamani?”
“Wala! Nilishakwambia kwamba siwezi kwenda kinyume na makubaliano.”
“Oke,” alisema Liz akipanda kitandani kulala sawasawa. Alimwamini Roi kwamba hawezi kufanya kitu chochote.
Sasa walilala sambamba, Liz aliangalia ukutani, Roi aliangalia mlangoni. Wakaanza kuzungumza kwa staili hiyohiyo, Liz ukutani, Roi mlangoni...
“Ina maana sista wewe bado una wasiwasi na mimi siyo?”
“Hapana, ila natoa tahadhari tu.”
“Ooo! Sawa, niamini mimi sista.”
“Nakuamini sana bro.”
Walilala, wakapitiwa na usingizi mzito. Kwa hiyo hakuna aliyekuwa akiukontroo mwili wake. Kuna wakati Liz alirusha mikono na kumfikia Roi na kuna wakati Roi alijikuta amegeuka upande wa Liz wakalala wakiangalia kumoja.
Kuna wakati, Roi akageuka, Liz naye akageuka, wakaangalia kumoja, mlangoni, Liz akapitiliza, mkono wake mmoja ukaenda ubavuni kwa Roi, Roi naye akaushika na kung’ang’ania.
Liz akautoa, akamshika kifuani, akamsogelea, wakawa beneti zaidi, Liz akatoa mkono ubavuni, akaupeleka kwenye kiuno, Roi akashtuka kwamba mbali na kubaini kuwa, yuko kitandani na Liz..
“Daa! Kumbe sista! Lakini mbona na yeye ananifanyia hivi, anakiuka makubaliano?” alijiuliza Roi.
Akaamua na yeye kukiuka makubaliano...
“Kama ni hivyo na mimi nakiuka.”
Roi alimgeukia Liz, wakawa wamelala kwa kuangaliana, Liz bado alikuwa katika usingizi lakini siyo mzito kama awali. Roi alimsogelea Liz mpaka mdomoni, akatoa ulimi kuelekea kwenye kinywa cha mrembo huyo.
Liz akiwa hajui lolote, alijikuta akipanua kinywa, ulimi wa Roi ukapenya ndani, Liz akaanza kuburudika nao huku akiguna.
Liz alijikuta akishtuka kutoka usingizini, akatumbua macho na kumwona Roi mbele yake...
“Haa! Broo,” alisema kwa tabu huku ulimi wa Roi ukiwa bado kinywani mwake, lakini hakuutoa!
Walikaa kimya, kilichosikika wakati huo ni dalili na mihemko tu, kila mmoja alishapanda joto la mahaba...
“B...ro...”
“M...mm...”
“Ah!”
“Mh!”
“Oo!”
“Ha!”
Liz alimvutia Roi kifuani kwake, akamweka karibu kabisa na kuanza kufaidi denda kwa uwazi. Ndani ya dakika kumi nzima walizama huko, Liz alipokuja kumtoa Roi kwenye kifua chake, akalala chali na kuchojoa.
Roi hakutaka kusubiri na yeye alichukua hatua hiyo, akajichojoa mwenyewe, wakawa saresare.
Walijikuta wapo uwanjani, kila mmoja alikuwa moto wa kuotea kwa mbali. Walijitamani sana, wakaamua kuingia uwanjani bila kuulizana wala kulaumiana.
Mchezo ulianza vizuri kabisa, kila upande ulisukuma mashambulizi kwa mwingine mpaka mchezo kuwa wa vuta nikuvute!
“Bro...ooo.”
“Si...staaa...”
“Tume...tumekiuka?”
“Daa...aaa!”
“Mwisho leo...”
“Kufanyaje?”
“Tusirudie tena, sawa?”
“Kweli kabisa sista...tusirudie tena,” alisema Roi huku akikazana. Alikazana sana mpaka Liz akabadili mawazo...
“Bro...oooo...”
“Sist...aaa...”
“Una..unaonaje tukiachana na undugu? Mbona kama huku ni kuzuri zaidi...”
“Broooo...oooo...”
Post a Comment