ad

ad

SEVILLA YATWAA KOMBE LIGI YA EUROPA KWA MARA YA NNE

Usiku wa kuamkia leo kulikuwa na kivumbi cha fainali ya Uefa ndogo, kwenye mtanange ulioikutanisha Sevilla ya Hispania dhidi ya Dnipropetrovsk ya Ukrain.
 Sevilla

Katika mchezo huo uliopigwa mjini Warsaw nchini Poland, Sevilla imeibuka kidedea kwa jumla ya bao 3-2, huku shukrani za dhati zikienda mkolombia Carlos Bacca aliyetumbukiza kimiani mabao mawili kati ya matatu yaliyoipa ushindi Sevilla.


 Hii ni mara ya pili mfululizo kwa timu hiyo kunyakua kombe hilo na kuweka rekodi ya kuchukua mara nyingi zaidi taji hilo. Ukiachilia mbali ushindi huu walioupata jana, Sevilla ilitawazwa kuwa mabingwa kwa mara ya kwanza mwaka 2006, 2007 na 2014.

Dnipro Dnipropetrovsk

  • 71 Boyko
  • 44 Fedetskiy
  • 23 Silva Bacelar
  • 14 Cheberyachko
  • 12 de Matos Cruz Booked
  • 07 Kankava Booked (Shakhov - 85' )
  • 25 Fedorchuk (Bezus - 68' Booked )
  • 99 Nascimento
  • 29 Rotan Booked
  • 10 Konoplyanka
  • 09 Kalinic Booked (Seleznyov - 78' )

Substitutes

  • 02 Vlad
  • 11 Seleznyov
  • 16 Lastuvka
  • 19 Bezus
  • 20 Vilela Gama
  • 24 Luchkevich
  • 28 Shakhov

Sevilla

  • 29 Rico González
  • 22 Vidal Parreu
  • 06 Carrico Martins Booked
  • 15 Kolodziejczak
  • 02 Trémoulinas
  • 25 Mbia
  • 04 Krychowiak Booked
  • 10 Reyes (Andújar Moreno - 59' )
  • 19 Banega (Iborra - 89' )
  • 20 Machín Pérez
  • 09 Bacca Booked (Gameiro - 82' )

Substitutes

  • 03 Navarro Corbacho
  • 05 Figueiras
  • 07 Gameiro
  • 12 Iborra
  • 13 Beto
  • 17 Suárez
  • 23 Andújar Moreno
Ref: Martin Atkinson
Att: 45,000

No comments

Powered by Blogger.