DAVINA AIPA LIKIZO NDOA YAKE
Mapumziko! Staa wa sinema za Kibongo, Halima Yahya ‘Davina’
amefunguka kuwa baadhi ya watu wanafikiria hatarudi kwenye ndoa yake
lakini kwa upande wake anaamini kuwa anakula likizo fupi kisha atarejea
kuendelea na maisha ya ndoa.
Akizungumza Davina alisema mfarakano katika ndoa ni jambo la kawaida hivyo watu wasikichukulie kama kitu kikubwa anaamini yatakwisha na watakaa sawa.
“Katika ndoa lazima mfarakano utokee, wanandoa wanaunamaliza na mimi naamini ninapozi kidogo nitarudi kwenye ndoa yangu, sijaachana na mume wangu ni matatizo tu yatapita na maisha yataendelea,” alisema Davina.
Halima Yahya ‘Davina’
Hivi karibuni, Davina aligombana na mumewe aliyehisi anaibiwa ‘mali’ zake na mwigizaji Mike Sangu.Akizungumza Davina alisema mfarakano katika ndoa ni jambo la kawaida hivyo watu wasikichukulie kama kitu kikubwa anaamini yatakwisha na watakaa sawa.
“Katika ndoa lazima mfarakano utokee, wanandoa wanaunamaliza na mimi naamini ninapozi kidogo nitarudi kwenye ndoa yangu, sijaachana na mume wangu ni matatizo tu yatapita na maisha yataendelea,” alisema Davina.
Post a Comment