YOUNG KILLER AKANA DEMU WAKE KUWA CHINI YA 18
MSANII wa muziki wa Hip Hop Bongo, Erick Msodoki ‘Young Killer’
amekanusha madai kuwa demu wake anayejulikana kwa jina la Halimaty ana
miaka chini ya 18.Akipiga stori na Ijumaa kuhusiana na ishu hiyo, Young
Killer anashangaa watu kudai demu wake huyo ni ‘under age’ wakati ukweli
ana miaka 20.
“Mpenzi wangu ana miaka 20 na siyo kwamba eti nimemchukua kihuni tu mtaani, hapana! Nimempata kwa ridhaa ya wazazi wake sasa nashangaa hizo tuhuma zinatokea wapi,” alisema Young Killer
“Mpenzi wangu ana miaka 20 na siyo kwamba eti nimemchukua kihuni tu mtaani, hapana! Nimempata kwa ridhaa ya wazazi wake sasa nashangaa hizo tuhuma zinatokea wapi,” alisema Young Killer
Post a Comment