ad

ad

JORDIN SPARK APATA BWANA MPYA


Mwanamuziki Jordin Spark.
Miezi kadhaa baada ya kubwagana na Jason Derulo, mwanamuziki Jordin Spark ameonekana kuhamishia majeshi kwa rapa Dominic Woods.
 
Jordin Spark akipozi kimahaba na Dominic Woods.
Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Sparks alitumia picha inayowaonyesha wawili hao wakiwa katika pozi la kimahaba.Huenda Sparks ameweka moyo wake kwa kijana huyo baada ya kutengana na Derulo kwa kile alichodai kuwa mwanaume huyo hakuwa na nia ya dhati kwenye penzi lao.

No comments

Powered by Blogger.