ad

ad

KITANDA CHA MAMA MWENYE NYUMBA - 03




“Leo ndiyo.”

“Hapana, sijampigia.”

“Fuko…”

“Naam mama…”

“Usinifiche,” alisema mama Joy huku akimshikashika sehemu mbalimbali za mwili mpaka kwenye flaizi ya suruali…

“Si…sija…m…mmmpigia,” mlinzi alianza kupagawa na lile zoezi la kushikwashikwa sehemu za mwili…

“Ma…ma…ma…hu…huko s…siii…ko…”

“Sema ukweli wewe. Kwanza huku ndiko. Uli…ulimpigia simu baba Joy..?” alisema mama Joy huku akizidisha kumhamasisha mlinzi wake huyo kwa kuendelea kumshika sehemu mbalimbali za mwili wake…

“Siiii…sija…sijampigia mama…kwe…kweli tena.”

Mama Joy naye alianza kupagawa, alianza kuangusha ‘malalamiko’ ya mahaba huku akifumba na kufumbua macho yake makubwa kama golori.

Sasa ukimya ulitawala, wote walikuwa wakifanya mambo yao kwa vitendo huku wakiwa wamechanganyikiwa kwa mahaba.

Mama Joy akiwa bado amepiga magoti, alimsimamisha mlinzi kisha na yeye akasimama na kusogea naye mpaka kwenye kochi kubwa.

Mama Joy alijitupa, akamvuta mlinzi, naye akajitupa tii. Hapakuwa na simile, mahaba yalitawala, yakapamba moto. Mama Joy aligawa raha kwa mlinzi. Maswali kama, ‘ulimpigia simu baba Joy’ yakaisha yakabaki manung’uniko ya mapenzi.

Mpenzi, mahabuba wangu, sweetheart, wa rohoni zikawa ndiyo kauli kutoka kwenye kinywa cha mama Joy.

Alipofanikiwa kuvunja dafu tu, mama Joy akaanza kutoa maonyo…

“Usije ukamwambia mtu lakini…”

“Sa…sawa,” alijibu mlinzi…

“Nihakikishie…”

“Kweli si…sitasema…”

“Ukisema je?”

“Nifukuze kazi…”

“Shauri zako, utafukuzwa kweli.”

Mara, mlinzi alianza kupiga kelele za ‘furaha’ za kufika mwisho wa kilele cha mlima…

“Usipige kelele sana basi, hausigeli atatusikia, atajua, akijua atasema,” mama Joy alisema akiwa amemmiliki kifuani mlinzi wake huyo huku akimkaribisha kwenye kilele cha furaha…

“Sa…sawa…” alisema mlinzi huku akizidi kupiga kelele. Ilibidi mama Joy amuwekee kiganja kwenye midomo ili sauti isitoke…

“Nimekwambia usipige kelele husikii, unataka kunitafutia matatizo siyo?” alihoji mama Joy huku kiganja bado kikiwa kwenye midomo ya mlinzi. Wakati huo mlinzi alipunguza kelele kwani alishasimama kileleni kwenye mlima wa maraha.

Alitoka haraka kwenye kifua cha bosi wake, akavaa sawasawa huku akiona aibu kwa mbali…

“Ukiwa mtulivu utafaidi vingi kutoka kwangu, ukiwa hujatulia kazi itaota mbawa. Umesikia  mpenzi wangu?”

“Nitakuwa mtulivu ili nifaidi. Lakini mzee si atajua..?”

“Utamwambia wewe..?”

“Mimi siwezi. Lakini wanasemaga wasomi wanajua mambo mengi.”

“Hawezi kujua kama hataambiwa.”

“Yule mzoa taka je?”

“Mzoa taka hakuhusu wewe, nyamaza. Na ole wako uzungumzie kuhusu mzoa taka.”

“Sitamzungumzia.”

“Haya nenda kazini kwako, lakini funga mdomo wako.”

Mlinzi alitoka huku akisemasema maneno anayoyajua mwenyewe.



***

Mama Joy aliingia chumbani kwake kwenda kuoga. Alipomaliza alikwenda kukaa kwenye ‘dressing table’ na kujipodoa vilivyo, pafyumu na manukato mbalimbali ili kuondoa shombo la wanaume hao wasio na hadhi yake.

Alipomaliza, alikwenda jikoni kwa mfanyakazi wake wa ndani na kuongea naye mawili matatu huku akimkazia macho ili aone kama anajua chochote kuhusu kilichotokea…

“Pilipili umeweka za kutosha?”

“Ndiyo bosi…”

“Mchuzi uziwe kama ule wa juzi, umefuata vile nilivyokufundisha?”

“Ndiyo bosi, wala hakuna shaka.”

Mama Joy alijiridhisha kwamba hakuna siri yoyote anayoijua mwanamke huyo.

***

Saa moja jioni, mama Joy alipokea simu kutoka kwa mumewe…

“Nina safari ya Arusha usiku huu. Nakwenda kufanya makubaliano na wale jamaa wa Tanzanite…”

“Mbona ghafla baba Joy..?”

“Imebidi niende…”

“Kwa ndege au gari..?”

“Kwa gari…saa mbili na nusu asubuhi nitakuwa na kikao nao.”

“Haya, safari njema mume wangu…”

“Oke, take care…”

“Usijali mume wangu.”

Mama Joy alikaa sebuleni akijiuliza maswali mengi kuhusu safari hiyo ya ghafla ya mumewe…

“Ni kweli au ananitega?”

“Si ajabu anataka kujifanya amesafiri ili usiku arudi kimyakimya akijua atanifumania na mzoa taka. Amechelewa, kama mtoa siri wake ni mlinzi naye nimemweka mikononi, yuko upande wangu sasa.”

Alitoka nje na kumwita mlinzi…

“We Fuko…”

“Naam bosi…”

“Njoo mara moja.”

Mama Joy alirudi sebuleni, akaa kumsubiri mlinzi. Aliingia muda huohuo…

“Mzee amekupigia simu..?”

“Ndiyo bosi…”

“Amekwambiaje?”

“Amesema nifunge geti kwa kufuli yeye hatarudi, anasafiri na wewe ameshakwambia…”

“Oke, vizuri sana kaendelee na kazi, ikifika saa nne usiku uje hapa sebuleni kuna mambo muhimu tuongee.”

“Sawa bosi.”

Dakika tatu baada ya mlinzi kuondoka, mvua kubwa ilinyesha huku ikiambatana na upepo mkali…

“Mh! Na kaubaridi haka ukipata mwanaume akukumbatie kukupa joto…patanoga,” aliwaza mama Joy huku akijikunyata, akaguna tena baada ya mvua kumwagika zaidi…

“Lakini si nimemwambia Fuko aje saa nne. Leo hakuna kulinda. Atalala na mimi chumbani mpaka asubuhi, loo!”

Kwa mbali akasikia kama sauti ikisema…

“Na mvua hii mumeo si ataghairi kusafiri? Sasa akija na kumkuta mlinzi chumbani unadhani ndoa ipo hapo?”

“Mume wangu hataweza kuingia ndani mpaka afunguliwe  geti, mbaya zaidi mwenyewe amemwambia mlinzi afunge geti kwa kufuli kwa sababu hatarudi tena leo, ana safari ya Arusha,” mama Joy alisema kama anayeijibu ile sauti.

Lakini palepale alipata wazo la kumpigia simu mumewe ili ajifanye anamuonea huruma kwa sababu ya mvua kubwa na safari. Mama Joy aliamini kwa kuongea na mumewe atapata picha kama ameghairi safari au la!

Bahati mbaya simu ilikuwa haipo hewani hata pale alipopiga simu mara tatu hadi tano, baba Joy hakupatikana…

“Kha! Asa huyu vipi?” alijihoji mama Joy akianza kupata wasiwasi kwamba, kweli mumewe anaweza kuzuka ghafla licha ya kwamba hataweza kuingia ndani hadi apige simu lakini atakuwa ameondoa uhondo kati yake na mlinzi.

Saa nne juu ya alama, mlango mkubwa uligongwa, mama Joy akiwa amejilaza sebuleni.

Alitoka kwenye kochi akaenda kufungua…

“Umefunga geti kwa kufuli kweli wewe Fuko?”

“Ndiyo mama…”

“Haya pita, lakini sasa nina wasiwasi na kitu kimoja…”

“Kipi tena mama..?”

“Mvua ni kubwa sana na mzee alisema anasafiri, haiwezekani akaghairi kusafiri, akarudi..?”

“Mh! Lakini hataweza kuingia ndani hadi afunguliwe geti…”

“Nitakwenda kufungua mimi,” alisema mlinzi…

“Sasa ukitoka si atasikia mlango huu ukifunguliwa wakati wewe unatakiwa kukaa kwenye kijumba chako..?”

“Mama, atasikia na mvua hii, labda kama itaacha kunyesha mama.”

Hapo, mlinzi alishaketi, mama Joy naye aliketi lakini kwenye kochi jingine.

Walitulia kwa muda wakitazamana. Mama Joy ndiye aliyekuwa akimwangalia kwa macho ya mahaba mlinzi wake huyo ambapo yeye alikuwa akisikia aibu na kuangalia chini kila mara…

“Sasa?” aliuliza mama Joy…

“Sijui, si uliniita bosi ukasema una mazungumzo muhimu na mimi.”

“Ee, ni kweli. Sasa nataka tukaongelee chumbani kwani mambo yenyewe ni nyeti sana.”

Mlinzi alishtuka kusikia kauli hiyo mpaka ikawa inajirudiarudia kichwani mwake…

“Ee, ni kweli. Sasa nataka tukaongelee chumbani kwani mambo yenyewe ni nyeti sana.”

“Sawa bosi,” alisema mlinzi. Moyoni alijua hakuna cha mambo nyeti wala nini, bosi wake anataka kitu na boksi.

Mwanamke huyo ndiye aliyetangulia kusimama, akamfuata mlinzi, akamshika mkono na kuanza kuondoka naye. Waliingia chumbani ambapo kwa mara ya kwanza na aliamini pengine na ya mwisho kwa yeye kuingia kwenye chumba cha tajiri yake.

Ni kweli alikuwa hafanani na chumba hicho lakini alishatunukiwa na mama mwenye nyumba.

Nje mvua ilikazana kunyesha, kibaridi kilikuwa kikali kiasi kwamba, chumbani hakukuwa na haja ya kuwasha ‘AC’ kama inavyokuwaga wakati wa joto…

“Utaoga?” mama Joy alimuuliza mlinzi wake huku mwili ukimnyevuanyevua kwa hisia za mahaba. Alitamani lisitokee hilo la kwenda kuoga kwani dakika tano mbele kuanza pale kwake ilikuwa ni pigo la kiu yake ya kufanya mapenzi…

“Kuna baridi sana bosi, siwezi kuoga.”

Mama Joy alimshika kwa fujo mlinzi wake na kumwangushia kitandani na nguo zake zikiwa zimeloa mvua chapachapa, miguuni matope, mpaka kinyaa.

Kisha na yeye akavua nguo haraka. Alivua zote akabaki kama alivyozaliwa…

“Njoo baba njoo,” alimwita mlinzi huku yeye akiwa anaelekea ukutani. Mlinzi alishangaa sana kwanini aitwe ukutani badala ya kitandani. Kwanza alisita, ghafla mwanamke huyo akamfuata, akamshika mkono na kumvuta.

Walikwenda hadi kwenye kona ya ukuta. Mama Joy akamchojoa nguo zote huku akimtaka ajisikie yuko huru. Aliamini kama mlinzi huyo atakuwa na wogawoga hatamtosheleza katika huduma ya mapenzi…

“Sawa.”

Mama Joy akaenda kitandani, akatoa godoro na kuliburuza peke yake hadi kwenye kona. Kwa kuwa chumba kilikuwa kikubwa na chenye nafasi ya kutosha, aliliweka pembeni kabisa, akarudia mashuka mawili.

Alitandika mwenyewe shuka moja, jingine akalitupia juu ya godoro kwa ajili ya kujifunuka.

Alimvuta mlinzi, naye akaangukia hapo. Shughuli ilianza. Mama Joy alimwingiza mlinzi wake kwenye shuka na kumwanzishia mechi huku akijisisimua mwenyewe.

Mlinzi alibadilika moyo, akawa kama mwanaume mwingine. Alianza kumchezesha mchakamchaka bosi wake huku wakiwa gubigubi ndani ya shuka zito.

Bosi alikubali, alilalamika sana na kumuahidi mlinzi wake hiyo mabo kibao…

“Fuko…nitahakikisha unaongezewa mshahara…nitahakikisha unabadilishiwa kazi, uje kufanya kazi za huku ndani…nitakuwa nakununulia nguo…”

“Nitashukuru sana mama,” alisema Fuko…

“Kwa sasa sitisha kuniita mama, niiite mkeo…”

“Haya mke wangu…”

“Eee, hapo sawa sasa…”

Mvua ilizidi kunyesha mpaka wenyewe ndani wakaogopa mle chumbani…

“Mh! Mvua kubwa sana mke wangu,” mlinzi alisema bila woga wala kumung’unya maneno kwenye kinywa chake chenye harufu ya sigara…

“Nikumbatie zaidi, mi naogopa mume wangu,” alisema mama Joy huku na yeye mwenyewe akimkumbatia sana mlinzi wake huyo.

Fuko alitii agizo, aliongeza kumbana mwanamke huyo mpaka mwisho wa uwezo wake. Mama Joy alitangaza kuvunjia dafu lake hapo lakini wakati akijilegeza kwa zoezi hilo simu yake ikaita na kumtoa kwenye stimu…

“Siyo baba Joy huyo kweli?” alisema mama Joy huku akikurupuka kwa fujo pale kwenye godoro…



Aliifuata simu na kuiweka sikioni, lakibi ilikata. Alipoangalia namba na mpigaji ni mumewe, alipompigia ikawa haipatikani tena…

“Khaa! Sasa huyu mbona ananiweka katika wakati mgumu sana,” alisema mama Joy.

Mlinzi alimfuata na kumdaka, akamrejesha kwenye godoro chini huku akimtaka kumtendea haki kwani ‘gari’ lake lilishaongeza spidi lenyewe…

“Mke wangu nina hali mbaya,” alisema mlinzi…

“Jamani mbona hata mimi mwenyewe,” mama Joy alisema akijiweka sawa. Mpambano mwingine ukaendelea ambapo mwanamke huyo hakuchelewa akatangaza dafu linavunjika, mlinzi naye akapasua la kwake sambamba na mama Joy.

Walibaki kimya kwa muda, kila mmoja alikuwa akihema kwa kasi, wakati mwingine walitazamana kama waliotaka kuchekeana, lakini mama mlinzi aliona aibu.

Simu ya mama Joy iliita tena, akaiwahi, akaiweka sikioni…

“Baba Joy,” aliipokea kwa sauti ya chini kama vile alikuwa hataki mtu mwingine asikie…

“Nimelala ndiyo, umesafiri na mvua hii..?”

“Ooo, pole sana. Basi safari njema,” kusema ‘basi safari njema’, mama Joy alitoa sauti ya juu kuliko alipopokea simu.

Aliweka simu kwenye meza, akamfuata mlinzi na kumwangukia kwa furaha…

“Mume wangu, leo tufaidi mpaka wenyewe tuseme basi.”

“Bosi ameamua kusafiri na mvua?”

“Anasema anakaribia Kibaha Maili Moja.”

Walicheka, wakakumbatiana. Mama Joy akamtoa mlinzi kwenye godoro na kumsimamisha kisha yeye akabeba godoro na kuliweka kitandani…

“Haya! Tulale kwa raha zetu sasa,” alisema mama Joy. Alitangulia kupanda yeye, akamwita mlinzi, lakini naye kabla hajapanda, mama Joy alishuka na kwenda kwenye kabati kubwa la nguo lililomo chumbani humo na kutoa pajama pea moja...

“Vaa hii ya mista, usiku wa leo kuna baridi sana, sawa?” Mlinzi aliidaka pajama hiyo na kuitumbukiza mwilini mwake kisha akapanda kitandani kulala.

Ulikuwa usiku wenye historia kwao, walitumia muda mwingi kukumbatiana ndani ya shuka moja na kila ‘walipochaji’ walicheza ‘mechi’.

Mpaka saa saba usiku, walikuwa wamecheza mechi nne, mama Joy alianza kuwa hoi, lakini mlinzi alitaka kupasha mazoezi ili mechi ziendelee.

“Mume wangu tutaendelea kesho, mimi sasa nimechoka sana,” alisema mama Joy kwa sauti ya tabu. Ni kweli alichoka. Hakuna siku amewahi kuchezeshwa mechi mfululizo kama usiku huo.

Mpaka jua linataoka, wawili hao walikuwa wamelala fofofo, hawajitambui.

Mfanyakazi wa ndani ndiye aliyetangulia kushtuka kwamba, mama mwenye nyumba siku hiyo alikuwa amepitiliza kulala. Na aliligundua hilo baada ya geti kubwa kugongwa kwa nguvu…

“Nani huyo? Halagu mbona mama hajaamka mpaka muda huu?”

Alitoka kwenda getini ambapo alishangaa kutomwona mlinzi huku geti limefungwa kwa kufuli kwa ndani…

“Mh! Pana usalama kweli hapa..?” aliwaza mfanyakazi huyo huku moyo ukianza kupata wasiwasi hasa alipokumbuka kesi nyingi za walinzi kufanya uhalifu na kukimbia.

Alikimbilia ndani, akagonga mlango wa chumba cha bosi wake huyo huku wasiwasi ukizidi kumpanda…

“Lazima kuna tatizo, kwanza mlinzi hayupo halafu mama naye hajaamka, pengine hayupo pia. Si kawaida yake kuwa kimya asubuhi, lazima angefungulia redio,” alisema moyoni.

“Ngo ngo ngooo…” alizidi kugonga, lakini geti kubwa nje nalo liliendelea kugongwa kwa nguvu vilevile.

Mfanyakazi huyo alianza kuamini tajiri yake yupo baada ya kusikia mlio wa simu, akategemea kusikia ikipokelewa na ‘haloo’ lakini ikawa sivyo, ukimya ulitawala.

Alishika kitasa na kukitingisha kwa nguvu huku akiita…

“Bosi…”

“Bosi kuna mgeni…”

Kwa mbali, mama Joy alisikia kutingishwa kwa kitasa cha mlango, akashtuka. Alifikicha macho, akabaini jua lilishaanza kuchomoza, akakurupuka kitandani…

“We Fuko…” mwenye nyumba alimwamsha kwa fujo…

Mlinzi huyo alikurupuka naye huku akifikicha macho kwa nguvu…

“Ha! Jua limetoka, mama yangu. Kama wamekuja wageni nje itakuwaje?”

“Bosi,” aliendelea kuita yule mfanyakazi…

“Kuna nini?” mama Joy alihoji, wakati huohuo simu yake iliita tena, akachanganyikiwa zaidi…

“Mungu wangu…atakuwa nani huyo..?”

Fuko alivaa nguo zake na kufungua mlango ili atoke mbio, akakutana na macho ya mfanyakazi wa ndani…

“Ha!” alihamaki mfanyakazi…

“Ooosh,” mlinzi naye alishutuka akarudi chumbani…

“Sasa wewe unatokaje bila kuniambia, je ukikutana na huyo mama wa kazi itakuwaje?” alihoji mama Joy…

“Siyo nikikutana naye, nimekutana naye kweli, amesimama hapo mlangoni…”

“Kweli..?”

“Kweli bosi.”

Yule mfanyakazi alipokutana na macho ya mlinzi, alitoka mbio kwenda jikoni huku mapigo ya moyo yakimwenda kwa kasi ya ajabu…

“Oo…ooo…”alihema…
“Ina…ina maana…ina maana mama na Fuko ni wapenzi? Hivi ina…inawezekana kweli..?”

Mama Joy alifungua mlango, hakukuta mfanyakazi wale msaidizi wake, akatembea kuelekea jikoni, akasikia mlio wa mfuniko kwenye sufuria, akarudi chumbani mbio…
“Toka sasa, yupo jikoni…”

“Hawezi kuniona..?”

“Nimekwambia yuko jikoni sasa atakuonaje?”

Mlinzi alitoka mbio. Kufika nje akasikia geti kubwa linagongwa, akaweweseka kwanza kabla ya kwenda kumjua anayegonga…

“Siyo bosi huyo…kama ni yeye amerudi saa ngapi? Hajatuona kweli..?”

Alikimbilia getini, alipogundua bado kulikuwa na kufuli, aliingia kwenda banda na kuchukua funguo…

“Ngo ngo ngooo…”

“Nani?”

“Mimi…”

“Wewe nani..?”

“Mzoa taka…”

“Unataka nini, leo hakuna takataka hapa ndani, halafu…”

“Mama je..?”

“Mama gani, we mama yako anaishi humu ndani kwani..?”

“Mama mwenye nyumba…”

“Kwani kama hakuna taka, mama wa nini sasa?”

“Sikiliza bro, mi sioni ni kwanini unanichukia, wewe unapata liziki yako kivyako na mimi napata kivyangu, sasa…”

“Fuko ni nani huyo?” mama Joy alihoji akiwa amesimama mlango mkubwa macho kayaelekeza getini…

“Mzoa taka mama, simi sijui anataka nini mama, kwani leo kuna takataka humu ndani, mimi sijaziona,” alisema sana mlinzi…

“Wewe hujaziona kwani we ndiyo mzalisha taka? Hebu mfungulie.”
#ANGALIZO: Simulizi hii itaendelea baada ya SHARE KUFIKA 200 kama umeipenda na unataka iendelee plz share na mkaribishe rafiki yako tuwe nae hapa. Tunakutakia siku njema.

No comments

Powered by Blogger.