UKWELI WA ‘FUMANIZI’ LA PATCHO MWAMBA HUU HAPA
Mwanamuziki Patcho Mwamba akiteta na GPL.
KUTOKANA na kuwepo kwa minong’ono juu ya mwanamuziki
mwenye asili ya Kongo, Patcho Mwamba kudaiwa kufumaniwa na mke wa mtu
na kisha kudundwa na kutoka manundu, Global TV ONLINE limefanya mahojiano na msanii
huyo na kupata ukweli kuhusu ‘fumanizi’ hilo.Kwa kuufahamu ukweli huo tembelea www.globatvtz.com
Post a Comment