ad

ad

UKWELI WA ‘FUMANIZI’ LA PATCHO MWAMBA HUU HAPA


 
Mwanamuziki Patcho Mwamba akiteta na GPL.
KUTOKANA na kuwepo kwa minong’ono juu ya mwanamuziki mwenye asili ya Kongo, Patcho Mwamba kudaiwa  kufumaniwa na mke wa mtu na kisha kudundwa na kutoka  manundu, Global TV ONLINE  limefanya  mahojiano na msanii huyo na kupata ukweli kuhusu ‘fumanizi’ hilo.
Kwa kuufahamu ukweli huo tembelea www.globatvtz.com

No comments

Powered by Blogger.