WANACHUO WA DIPLOMA MWAKA WA KWANZA UDOM WAWASILI LEO CHUON
| Wanafunzi wa Diploma ambayo ni Program maalumu kutoka serikalini na wote wanapewa mkopo leo ndio wamewasili chuoni hapo kwa wingi na kupata mapokezi kutoka kwa Benki pendwa ya NMB na CRDB |
| mpiga picha maarufu chuoni hapa anayefahamika kwa Jina la Kelvini ambaye ni msanii wa chipukizi wa bongo fleva na hivi karibuni kuachia track yake inayoitwa Picha |
Post a Comment