TAJIRI WA BUKOBA: MWILI WA MAREHEMU LEONARD MUTENSA WACHUKULIWA HOSPITALI YA MKOA NA KUPELEKWA NYUMBANI KWAKE, KUZIKWA LEO
Tukio hilo lililozua gumzo mjini Bukoba, lilitokea usiku Novemba 18,
mwaka huu ambapo imeelezwa kuwa marehemu ambaye ni baba wa familia,
kabla ya kupatwa na umauti, alikutwa ndani ya gari yake aina ya IST
lenye namba za usajili T. 982 CQG akifanya mapenzi na mchepuko wake
aliyetajwa kwa jina la Jackline Hassan (25) maeneo ya Buyekere mjini
Bukoba.
PICHUA ZOTE NA FAUSTINE RUTA, BUKOBA









Post a Comment