PICHA ZA MAZISHI YA MSANII GEEZ MABOVU IRINGA LEO NOV 14
Mazishi ya msanii Geez Mabovu ambaye alikuwa maarufu kwenye muziki wa
Hiphop Tanzania, yamefanyika leo nyumbani kwao Iringa katika makaburi
ya Mlolo.
Mabovu amefariki dunia kwenye hospitali
alikokua amelazwa nyumbani kwao Iringa alikokwenda wiki mbili zilizopita
kutokea Dar es salaam akisumbuliwa na maradhi ya kifua.
Ndugu, jamaa, marafiki, wasanii na watu mbalimbali wamejitokeza kushiriki katika mazishi hayo.
Picha: Francis Godwin

Post a Comment