ad

ad

PICHA ZA MAZISHI YA MSANII GEEZ MABOVU IRINGA LEO NOV 14


Mazishi ya msanii Geez Mabovu ambaye alikuwa maarufu kwenye muziki wa Hiphop Tanzania, yamefanyika leo nyumbani kwao Iringa katika makaburi ya Mlolo.
Mabovu amefariki dunia kwenye hospitali alikokua amelazwa nyumbani kwao Iringa alikokwenda wiki mbili zilizopita kutokea Dar es salaam akisumbuliwa na maradhi ya kifua.
Ndugu, jamaa, marafiki, wasanii na watu mbalimbali wamejitokeza kushiriki katika mazishi hayo.
Hizi ni baadhi ya picha za mazishi ya msanii huyo.
image-13-11-14-06-32-2
IMG_3073
IMG_3076 IMG_3081
Msafara wa Mazishi
image-13-11-14-06-32-3
image-13-11-14-06-32
Kaburi
Marafiki Mazishi
image-13-11-14-06-32-1
Baba wa Geez 
Picha: Francis Godwin

No comments

Powered by Blogger.