ad

ad

STUDIO MPYA YA SHEDDY CLEVER IMEHAMIA SINZA

DSC_1468 DSC_1470 DSC_1471 DSC_1482 DSC_1488 DSC_1514 DSC_1520 DSC_1527 DSC_1532 

Mwanzoni mwa mwezi wa sita mwaka huu producer Sheddy Clever alitangaza kuweka vifaa vya studio sokoni na kusema kuwa anampango wa kuingiza vifaa vipya kwaajili ya studio mpya. July 22 2014 Sheddy Clever amefanikiwa kuhamishia studio yake ya Burn Records maeneo ya Sinza nyuma, Mkabala na mlimani city kwenye round about ya kanisa la kakobe jirani tu na bar ya Katarunya.

PICHA ZOTE NA Sammisago.com

No comments

Powered by Blogger.