
Wastara na Hemedy wanakuja na filamu mpya ya Last Desicion ambayo itatoka tarehe 14 mwezi huu. Waigizaji hao tayari walishacheza filamu kadhaa pamoja lakini ujio wao huu mpya unatarajiwa kuwa tishio.
Maneno aliyoyasema wastara kupitia instagram "kitaani nimeingia mwenywe kubandika postars za movie yangu mpya last decidion hii yote ni kuonyesha umuhimu wa kazi yangu na kuithamini ninapaswa kufanya chochte kuakikisha inafanya vizuri sokoni ikichangiwa na saport yangu mwenyew na @teamwastara manager wangu @bond_bin_sinnan na pruduser mwenzangu @freedom30_10 na admin ma toto @sharoasla na nyinyi mashabiki wa mimi
Post a Comment