BREAKING NEWS: MUME WA FLORA MBASHA APEWA DHAMANA
Mume wa Flora Mbasha, Emmanuel Mbasha akipelekwa mahabusu ya Mahakama ya Wilaya ya Ilala, Dar.
...Askari magereza akifunga mlango wa mahabusu.
MUME
wa Flora Mbasha, Emmanuel Mbasha (32) anayekabiliwa na kesi ya ubakaji
amepewa dhamana katika Mahakama ya Wilaya ya Ilala, Dar baada ya
kutimiza masharti!
(PICHA NA RICHARD BUKOS/GPL)
CREDIT: GPL
Post a Comment