ad

ad

Daraja la Ruvu halipitiki sababu ya maji ya Mvua - Magari ya Mikoani yakwama

 Mpaka sasa kuna foleni kubwa kutoka Darajani mpaka mlandizi na bado inazidi kuongezeka.
Na haieleweki yataisha lini wala saa ngapi, Gari moja aina ya tank limeshasombwa.
kwa wale mnaosafiri kupitia Ruvu ni vema mkaairisha safari.

CHANZO: JAMIIFORUMS

No comments

Powered by Blogger.