ad

ad

CHOMBEZO: MPANGAJI SEHEMU 20



Niliingia na mimi ndani na kufunga mlango,kisha nikamgeukia ambapo alikuwa hata hajakaa kwenye kochi.Kwa kuwa nilikuwa na mausongo,nilimvamia kwa fujo na kuanza kumla mate huku namwondoa ile blazia yake.

Baada ya hapo nilimtoa sketi yake wakati huo yeye alikuwa ananitoa fulana yangu. Haikuchukua muda tayari wote tulikuwa kama tunaoga vile. Bado tulikuwa tumesimama pale sebuleni huku tunapapasana.

Endelea nayo hapa...
Nilikuwa nimepania sana kujisafisha kwake hasa baada ya yale maneno ya dharau aliyonitolea juzi yake.
Niliporidhika na ulimi,nilishika mguu wake mmoja na kuuweka kwenye stuli,hivyo akawa kasimamia mguu mmoja.Hapo nikaenda hadi chini,nikawa kama nachungulia kitu kwenye pango lake. Taratibu nikasogeza mdomo wangu na kushtua kidogo kwa kuramba mara moja kama ice cleam. Hapo alishtuka na kidogo ashushe mguu.
Kamanda nikakamata yale makalio yake vizuri ili asidondoke wakati naanza shuighuli yangu.Ile kuweka mdomo wangu sasa,daaah!Mtoto si akaanza kukatika mauno kabla hata sijaweka mashine yenyewe.Tena mbaya zaidi anakata huku anatoa milio ya kila aina,mara ya nokia,mara samsung mara tecno,yaani daah!Ilikuwa kijasho na raha,na mimi sikuacha.
Baada ya zoezi hilo,nikahamia kwenye kidole na pango,nikaanza kuweka kidole kwa kasi,nje ndani hadi mtoto nilipoona sasa kalainika. Nikaendelea kuonesha maujuzi yangu kwenye mwili wake tofauti na pale pangoni. Nilikuwa nikila chuchu,nasugua kiuno nakula masikio yake,nanyonya kitovu na kulamba mapaja yake.Hiyo yote ni kumpa raha tu!

Baada ya hapo,nikasimama kidume na kisha nikamnyanyua na kumuweka juu kifuani kwangu wakati huo miguu yake ilikuwa imepita juu ya kiuno changu kidogo,na mikono yake ilikuwa imezunguka shingoni.Alikuwa si mzito saana,hivyo hakunipa shida kivile.

Nikiwa vilevile nimesimama na kumbeba Shei,niliweka mzee mzima kwenye pango la mtoto yule. Hapo sasa ndipo nilianza kushuhudia maufundi ya Shei. Mtoto alikuwa anakata bwana,tena juu kwa juu,kudadeki zake.Kiuno kinaraundi utasema tairi ya gari la mashindano au ringi ya baiskeli inayoshuka mlima.

Nilipoona japo nipo juu lakini nazidiwa kete,nikambana vizuri,kisha nikampeleka hadi kwenye ukuta na kumbania hapo.Lakini ndio kama nilikuwa namuongeza kasi,kiuno kikazidi kuzunguka huku ile milio ya mautamu ikizidi kuongezeka na sasa ikachaongezeka na mingine,ile ya ukuta. Wakati anakata mauno,ukuta ulikuwa unalia kwa kukwanguliwa na harakati zetu.

Kete nilizidiwa sana tu! Ila sikuacha kujitahidi kidume ili na mimi nijikwamue kwenye lile janga la kuaibishwa na katoto kadogo kama Shei. Nilichojitahidi sana ni kuhakikisha sikojoi fasta na hata nikifanya hivyo,basi niwe tayari nimempelekesha yule mtoto.
Pale ukutani nilikuwa kama nimempiga chura teke,au namtesa samaki kwa kumzamisha ndani ya maji na kumuacha afie huko.Yaani kumweka ukutani,ilikuwa ni kazi bure.
Nikamtoa pale na kumbwaga kochini huku bado mashine inaendelea kusaka nyavu za mtoto yule pale pangoni. Mimi juu ,yeye chini. Lakini bado mtoto anakata tu!.Nikawa nashindwa hata kurudisha majibu.Aibu gani hiyo,na jinsi alivyokuwa wa moto,mmh! Sikukubali kirahisi.
Na mimi nikaanza kujibu mapigo kwa nguvu zaidi.Akikata kutoka nje,mimi naingia ndani zaidi.Akikata kuingia ndani,mimi natoka nje karibu mpini wote halafu nikiingiza nazamisha wote tena kwa kasi ya ajabu. Hilo nilifanikiwa kumpata,lakini ghafla nilifika kileleni kwa kufunga la kwanza.Mzee P kimyaaa,akalala kabisa.


“Vipi?Unaendelea cha pili au ndo doro hivyo”.Aliniuliza Shei baada ya mshindo ule wa kwanza.
“Kwani wewe unanionaje?Naweza kuendelea au siwezi?”.Nilimuuliza swali huku namuangalia usoni.
“Lolote laweza kutokea hapa. Inaweza kuwa ndio picha limeishia hapa au ndo steringi akafufuka”.Alinijibu huku ananitaza pia.
Maneno yale kwangu niliona kama dharau,hivyo nilitabasamu kinafki na kumwangalia tena mtu anayeniambia yale.
“Yaani huyu ,mimi sijataka kabisa kumpa yale ya ndani kwa sababu ya kuogopa nitamuua,lakini yeye anajidai wamo eeh.Ngoja sasa nimwoneshe”.Nilijiwazia kichwani huku bado usoni namuonesha lile tabasamu la kinafki.
“Kwani wewe upo vip?Waweza kuingia part tuu?”.Nilimuuliza baada ya kuwazua mawazo yangu.
“Yaani hicho cha kwanza ni sawa umeniamsha mizuka yenyewe.Nataka kama matatu mengine ili mizuka iishe”.Alinijibu huku safari hiii akianza kumchezea mzee mzima P.
“Okey.Basi kwanza twende bafuni halafu nije kukupa mambo yenyewe ambayo nadhani kamwe hutokuja kuongea maneno kama hayo pindi nitakapomaliza shughuli”.Nilimwambia huku nanyanyuka na kwenda chumbani ambapo nilitoka na mataulo mawili makubwa.

Lengo la kwenda bafuni ni kwenda kusafishana vizuri ili yale madude ya kwanza yaondoke na mimi nilitafune pango bila karaha.

Alinifata bafuni mtoto yule mzuri kwa sura,umbo mpaka kila kitu ukijuacho.Huko tulianza kuogeshana na kuchezeana bila kusahau kusafishana hadi kila mmoja akaridhika na usafi ule uliochukua muda kiasi.

Baada ya hapo nilianza kumfuta maji tuliokuwa tumeoga.Wakati namfuta,nilipita kwenye chuchu yake moja na kuifuta kama nazunguka hivi.Hapo alishindwa kuvumilia na nilimsikia akitoa mlio kama kachomwa na mwiba hivi au kajichanja na kiwembe au kachomwa na kile kisindano cha malaria kule hispitali.
Nikawa nimeshaelewa ana hisia kali wapi ukitoa pangoni.Nikaweka akilini hiyo,nikapita na kumfuta kwingine. Baada ya hapo,na yeye akafanya vivyo hivyo.
Tulimaliza kuoga wenyewe,tulitundika mataulo yetu kule bafuni na kuyaacha hukohuko. Mimi nilichutama kidogo kabla hatujatoka bafuni.Baada ya kuchutama,Sheila alikuja mgongoni kwangu na kupanda.Hapo safari ya kuelekea gheto ikaanza huku mzee P akiwa tayari kwa part two ya picha lile.

Huko gheto sasa.
Nilimbwaga kifudifudi kama kawaida ilivyotakiwa kufanywa.Na kitendo bila kuchelewa nikazama chumvini kamanda,namaanisha nilivamia pango lake na kuanza kulitafuna bila kuchoka.

Miguno na mauno aliyokuwa anaitoa,ingekufanya uingie fasta,lakini kwa kuwa nilishajua huyu ni hatari ukishaanza ule mchezo,wala sikuthubutu kusikia vilio vyake.
Nikaongeza maufundi zaidi. Nikawa nakula ’cave’ huku nasugua chuchu yake ile yenye hisia za kufa mtu.Hapo ndio ilikuwa hatari zaidi,kwani kukata alishindwa na kulia alishindwa,akabaki kukaza kiuno huku sauti imebana kabisa.
 Ndo maana yake,mtoto alikuwa kabana pumzi yote.

Pale nilipoacha kula cave na kuchezea uchuchu,mtoto alipumua pumzi ndefu kama katoka kushuka mlima. Nilifanikiwa kiasi chake,lakini nilitaka kumuonya zaidi kutokana na maneno yake. Sasa nikaanza kusugua eneo la nje la pango lake,nilikuwa nasugua huku mkono wangu kiasi fulani umelainishwa na mate. Nilisugua sana eneo lile huku yeye akizidi kuwa hoi kwa ile kitu.
Nikatoka hapo kamanda,sasa nikaingia kwenye pigo la mwisho.Pigo lililomzimisha Mama James,pigo lililommwaga mvua Tuse,pigo lililomfanya Mama Tuse asifie hadi naondoka pale kwao.Ndilo hilo pigo ambalo mwanamke mbishi kama Sheila,anatakiwa kulipata.

Kwanza nilitanua miguu yake kidogo zaidi ya pale.Kisha nikamlalia kifuani kiutundu, nikiwa ubavu ubavu ili asiruke na kukimbia kama chizi.Kisha kamanda nikaingiza kwanza ulimi wangu mdomoni kwa mtoto yule mtamu.Akaupokea na kuanza kuufanyia maepe yake.

Mtoto alikuwa mtaalam katika idala ile.Ulimi alikuwa anaukunja ukiwa mdomoni na kunikuna juu ya paa la mdomo wangu.Saa nyingine alikuwa anauviringa ulimi wangu na kuwa kama umeviringwa na nyoka.Kwa hilo nampa hongera,alikuwa mtaalam sana kwa hizo kitu.

Nikatoa ulimi wangu na kuupeleka mdomo wangu kwenye uchuchu wake uliokuwa umesimama kama ncha ya sindano au mdomo wa chiriku. Mtoto akaanza kutoa miguno ya hatari kama kawaida yake.Huyu sikutaka kumpeleka mbali sana,sijui nichukue vibarafu au nini.Ni ulimi tu ndo ulikuwa unafanya kazi yake.
Nikamgeuza na kumlaza kitumbotumbo.Hapo nikaanza kubusu kwa taratibu toka kwenye uti wake mgongo hadi karibu ya makalio yake.
Mtoto alikuwa anatoa mihemo kila busu nililokuwa napiga,hali ambayo ilikuwa inazidi kunipa mizuka P mimi.Lakini nitafanya nini na wakati na nimuoneshe maujanja.
Kuna muda nikamkumbuka mwandishi mmoja wa machombezo.Anaitwa Junior. Kwenye chombezo lake la FUPI LAKINI TAMU,alimramba mtu akiwa kampa mgongo.Basi na mimi nikajaribu hiyo.

Nikaanza kuuterezesha ulimi kutoka maeneo yale yele ya uti wa mgongo hadi kwenye kiuno,ambacho kilikuwa kinakata chenyewe bila kuwekewa ngoma.
Ulimi ukafanya kazi yake vya kutosha hadi mtoto akawa hoi taabani.Kama ni mboga basi ningemuita mrenda kwa jinsi alivyolegea.
Macho yake yalishabadilika rangi na kuwa kama nyanya huku yakilegea kama mdomo wa taira.Nikamweka kifudifudi tena,kisha nikaanza kuchezea pango lake kwa kutumia P wangu.
Nilimpaka P mate kiasi na kisha nkaanza kusugua eneo lile na kidogo nilikuwa naingiza ndani,kitu kilichomfanya Shei kutaka kuruka kwa raha.

Baada ya hapo nikarudi sasa na pigo la hatari. Safari hii nilipima uwezo wa pango lake kama unaweza kukubali kupokea vidole viwili,kwani unaweza ukaingiza kumbe ukawa unamuumiza mtoto wa watu.Nilipojaribu,niliona anaweza bwana.

Basi nikalainisha vidole ville kwa mate na kisha nikaweka mambo kwenye cave.Duuh! Mtoto alikuwa kama kapagawa na tendo lile,na mimi kama alikuwa kanambia ongeza kasi.Nikaongeza ikawa speed 120. Hapo mtoto mwenyewe aliomba mchezo kabla ajanyesha mvua.
Ni kama sikusikia vile,nikazidisha mambo.Nikarudi palepale kwenye chuchu na kuanza kuisugua huku naendelea kufanya yangu huku chini,na zaidi nilikuwa nacheza sana na G.Spot yake.
Wee,usicheze na mimi bwana,kiburi chote kilimtoka.Akabaki anahema huku akidema kama amepata homa.
“Piii,wekaaaa”.Ilikuwa ni sauti ya Sheila ikiomba gemu yenyewe.
Huku chuchu inarambwa,na huku vidole vinafanya yake. Niliopoona tayari anakariba kuja,sasa nikatundika daruga langu kwa kuzama kina kirefu cha mtoto Shei.
Hapo mtoto alishindwa kupumua kwa muda nisioujua.

Nilikuwa nimeingiza mzee mzima kwa kasi ile ile ya vidole na kuitoa mara moja nje.Nilimuona kama kachanganyikiwa lakini hakuwa kichaa.Nilipoingia mara ya pili,alinikumbatia ili nisitoke tena nje.

Nilimpa mdudu wa hatari kwani safari hii nilimuandaa vya kutosha.Hivyo uwezo ule wa mwanzo wa kukata mauno alikuwa hana.
Sasa uwanja ulikuwa wangu asee. Nilimfanya kwa hasira lakini kwake ilikuwa kama burudani,na ninaamini hawezi kunisahau kwa ile kitu.
**********
Hadi namaliza ule mchezo,tayari mwenzangu alikuwa kitambo sana kamaliza na alikuwa kama anasubiri na mimi nifike tu!.
“Mmmh!P wewe ni noma sana.Sina haja ya kuendelea tena.Usije ukaniua”.Alisema ukweli Sheila.
“Hata hivyo umejitahidi sana,sijui nani mkufunzi wako katika mapenzi”.Nilimsifu na kumpa swali ambalo alitabasamu.
“Daah!Sisi ni watoto wachache tuliobahatika kuingia unyagoni. Dada alikataaga kabisa,mimi nikaenda. Nadhani umeona tofauti yetu”.Alisema Shei.
“Mhh!We ni hatari sana Shei.Ningelaza damu ungenitoa nishai na pati tuu”.Nilizidi kuropoka mineno yangu.
“Ha ha haaa.Hapa mwisho umeniweza.Hilo sikatai na ningekuwa bwege,ungenizimisha wewe. Najua jinsi ya kumenteini mambo hayo,angekuwa boya angeweza hata kufa”.Aliongea Shei kitu cha uhakika zaidi kwani hata mimi nilishangaa huyu mtoto imekuwaje hadi akavumilia ule mziki.
“Nimekukubali aisee.Wewe ni nouma”.Nilimpa sifa tena na yeye alitabasamu kisha alinyanyuka pale kitandani na kuvaa nguo zake.Akatoka nje huku akiniacha sina hamu tena ya ule mchezo.
***********
Zikapita wiki mbili huku bado kale kamchezo ketu kabaya na Shei,kakiendelea kama kawaida kisiri siri.
Ni kipindi hicho hicho ndipo na rafiki yangu Gasper aliondoka na kurudi shuleni alipokuwa anasoma huku akiniahidi atawasiliana na huyo jamaa yake ili amwambie ni nini kipo nyuma ya pazia huu ya Baba yake Sheila.

Mara mwezi ukakatika bado nikiwa pale nyumbani kwa kaka huku tukiendeleza mautam yetu.
**********
Ilikuwa ni siku moja ambayo kwangu naweza ndio ilianza kufungua matatizo yote. Siku hiyo Sheila alikuja gheto kama kawa na tukapeana mchezo kama ilivyoada kwa wapenzi sisi.
Baada ya mchezo alikaa kitandani kuanza kuongea maneno ambayo mwanzoni nilidhani utani ila huko mbele,ndiyo yalikuwa ni balaa.
“P. Hivi wajua mwenzako nina mimba”.Aliongea huku akiendelea kuchezea kifua changu.Mimi nikadhani anazingua tu!.Hiyo yote kwa sababu nilijua kuwa mtu hawezi kujijua ana mimba ikiwa ina mwezi mmoja.Hivyo na mimi nikajibu kimasikhara kama nilivyodhani yeye ana masikhara.
“Aaah.Nitalea tu!Kwani unaogopa?”.Nilimjibu huku natabasamu.
“Namuogopa baba mwenzako”.Naye aliongea lakini mimi bado nikawa mtu wa utani tu!.
“Usijali.Nitakuja kuongea naye kiutu uzima”.Sheila alifurahi kwa kucheka sana jambo lilinifanya niamini alikuwa ananitania.
“Utapigwa risasi wewe”.Aliniambia.
“Kapiga wangapi?”.Na mimi nikauliza.
“Yule kamanda.Sema hujui tu!”.
“Mimi komando sasa.Tuone nani bora”.
“Haya bwana.Nashukuru kwa kunijali”.Aliongea Sheila huku akinilalia kifuani na hapo stori nyingine zikafuata.
***************

Zikiwa zimebaki siku tatu niodoke pale kwa kaka,ndipo kasheshe lilianza sasa. Yule mtoto kumbe kweli alikuwa na mimba na aliyaweka yale maneno kichwani kuwa nitaongea na baba yake na wakati mimi nilikuwa natania tu!.

Siku hiyo asubuhi,zilisikika kelele kutoka kule ndani kwa akina Shei.Ilikuwa ni kati ya baba na mwana.Niliposikiliza vizuri,nilisikia kuwa Shei anamimba lakini alikuwa hamtaji ni nani mhusika.Hapo ndipo nikadata zaidi na kuona kama zile siku tatu zilizobaki ni kama miaka mia.

Kelele zikaenda na kwenda bila Shei kumtaja mhusika,hiyo ni kutokana na kusubiri mimi nijitokeze mwenyewe na kujieleza.Yaani nifanye kama nilivyompa moyo hapo nyuma kuwa nitaongea na baba yake.
Hata pale Mzee Donyo alipotumia nguvu,Shei alibaki na msimamo wake wa kutonitaja.Nilisikia maneno machache toka kwa mzee yule,eti akimjua aliyempa Sheila mimba,na yeye anazaa naye. Hapo moyo wangu ndiyo ukafa kabisa.

Kamanda nikawa mtu wa ndani nikiogopa kujitokeza nje na kukamatwa na Shei ili kulazimishwa kwenda kujitambulisha kwa mzee yule katili.
Lakini mbio za sakafuni zinaishia ukingoni.Nikiwa nimebakiza siku moja kuondoka pale kwa kaka,Shei akanikamata na kuanza kunilaumu kwa nini sijaenda kujitaja na wakati nilimuahidi kuwa nitaenda.
“Shei mimi nilidhani unanitania bwana”.Ndicho nilichomwambia.
“Kwa hiyo unasemaje kuhusu kwenda kwa baba?”.Naye aliniuliza.
“Mimi siwezi Shei.Mzee ataniua yule.Naomba usinitaje kuwa ni mimi.Please,Shei.Naondoka kesho ila nitakuwa nawasiliana na wewe”.Nilijitahidi kumweka sawa mtoto yule.
“Hiyo haitakuja tokea Prince,hili tumbo lako.Kwa hiyo wewe kajitaje kabla mimi sijafanya hivyo”.Aliongea Sheila kwa sura kavu na ya kumaanisha.
“Okey.Nitafanya hivyo”.Nilimjibu na kuingia ndani na kumwacha yeye amesimama pale gizani.

Usiku huohuo nikiwa napanga nguo zangu ili kesho asubuhi na mapema niondoke,ndipo simu yangu ikaita.Nilipoangalia,alikuwa ni Gasper.
“Niambie Master P.Mtoto wa Vitoto”.Alianza Gasper kwa furaha.
“Dah! Huku mambo mwamala kaka”.Nilimjibu nikimaanisha mambo yameharibika.

Unataka niwe nakutumia stori kama hizi na kila nyingine inayonifikia? jiunge na familia ya 2jiachie.com kwenye  facebook hapa LIKE PAGE YETU HAPA ==> 2JIACHIE


 Chombezo linazidikunoga hakikisha haikupiti hata siku moja.

 :: Endelea ku LIKE PAGE YETU na ku COMMENT chombezo hili kali na lakusisimua.

:: Kwa wale watakaokuwa waki SHARE 100 wa kwanza nitawapa kipaumbele kwa kuwa TAG chombezo hili kila litakapokuwa likitoka litakuwa katika wall yao



MPANGAJI sehemu ya 21 itaendelea tena kesho HAPA.

1 comment:

Powered by Blogger.