CHOMBEZO: MPANGAJI SEHEMU 19
ILIPOISHIA...
Mwingine
alikuwa dada mmoja wa kulekule Tabora,huyu alivumilia lakini hakutaka tena
niendelee la pili na la tatu hadi yote. Mwingine alikuwa Mama James,ambaye
nilimpa madude yasiyopimika hadi akazima.
Endelea...
Mwingine
alikuwa ni mke wangu Maimuna. Huyu siku ya kwanza kule chooni alishangaa sana
baada kuishika mashine yangu. Na baadae aliuliza ni vipi Stela aliweza kuhimili
mzigo wote ule na wakati hakuwahi kufanya haya mambo hata siku moja.
Nakumbuka
nilimjibu kuwa kama hataweza kukutana na mwanaume mwenye dude kama langu,basi
ataangaika sana kumtafuta na siku zote atakuwa ananikumbuka sana kwa mambo
yangu,kwani nilikuwa namkuna kule kule.
Na ndicho
kinachoendelea sasa hivi kwa Stela,kawa mwanamke wa kubadilisha wanaume kama
chupi.Kila leo anatafuta mwanaume,warefu kwa wafupi na weupe kwa weusi,hajali
unafedha kiasi gani,hata bure unajilia mzigo hadi asubuhi.
Wababa kibao washakula zigo,na hata siku niliporudi pale Morogoro kumtafuta Maimuna alitaka tukumbushie kidogo,lakini kwa yaliyonipata nilipotoka,nilisema hapana,yatosha sana,wanawake mimi basi.
Sasa huyu
Sheila alikuwa ni wa tano na alikuwa kaduwaa kweli baada ya kuona mtu yule
ambaye hana mabega na ana jicho moja,akiwa anamtazama kwa matamanio sana.
“Kwani hapa
nipo na dada yako au wewe,unanikata stimu sasa”.Nilimwambia huku uso nikionesha
kuukunja kwa kukereka na yale maneno yake.
“Basi Baby,na
wewe hutaniwi?”.Alinibembeleza eti huku akiinua mgongo wake pale kochini na
kunikumbatia,kisha taratibu akapaka mkono wake mate na kuanza kumsugua P wangu.
Raha niliyoipata,kamwe sikutegemea kuipata kwa mtu kama Sheila ambaye
alionekana mpole na asiyejua kitu.
Wakati
anamsugua,akaanza kulala na mimi taratibu hadi nikawa nimemlalia kwa juu kwa
mtindo uleule wa kifo cha mende.
Na yeye kama
alijua kuwa ananichelewesha,akaingiza kile kijiko kwenye kisima chake ili
kichote asali. Baada ya kuiweka kwenye kile kisima,alitoa mikono yake kule
chini na kuizungusha kwenye shingo yangu.
Kwa kuwa
kipenga kilikuwa tayari kimepulizwa kwaajili ya mpambano,basi na mimi nikazama
wote kwenye lile pango la mtoto Shei. Hapo ndipo niliamini usemi wa BOB MARLEY
kuwa NO WOMAN,NO CRY. Mtoto alikuwa analia kwa raha kiasi cha kunifanya mimi
niongeze kasi ya kuendelea kuipa dhoruba ya kutosha ile naniliu yake.
Mtoto
alikuwa wa moto balaa,yaani dakika mbili sidhani kama zilifika,tayari nilikuwa
nimetoa yale ya mwanzoni. Sikuridhika na hali ile,nikataka niendeleela pili.
Alinikaribisha
vizuri baada ya mdudu kusimama tena. Safari hii nilipiga kwa dakika nyingi
kiasi. Kwa kuwa alikuwa wa moto na anayejishughulisha,nilijikuta nafunga tena
la pili baada ya dakika kumi.
Nilikaa
pembeni baada ya shughuli ile na nilimuona yeye akinyanyuka na kushika khanga
yake na kuitanda mwilini mwake.
“Nakukarisha
tena P,unikune. Kwa leo hujanikuna kabisa,ila nashukuru”.Aliongea mtoto Shei na
kuniacha kinywa wazi kwa maneno yake.
Nilijiona
kama nimekuruka sana kumuingia huyu mtoto hadi anadiriki kusema kuwa
hajaridhika kwa mkuno wangu.
“Usijali
Shei.Keshokutwa uje muda mzuri ili nilioneshe kwa nini mimi ni mtoto wa
mfalme”.Nilimjibu huku nikimuacha yeye akifungua mlango na kutoka nje kuelekea
kwao.
Huo ndio ukawa
mwanzo wa mimi na Sheila kufanya mchezo mbaya.Nikawa namsubiri aje keshokutwa
sasa ili nimuoneshe maujanja yangu niliyoyaficha siku ile.
Siku hiyo
sikutoka hata nje baada ya kale kamchezo katamu kutoka kwa Sheila. Kila wakati
nilikuwa nakiwaza kiuno chake kilivyokuwa kinaenda kushoto na kulia,mbele na
nyuma kwa mtindo wa kuzunguka duara. Kila nilipokuwa nawaza hayo,nilikuwa
napandisha mizuka hadi boxer yangu ya Manchester United ilikuwa inataka
kutoboka.
Nilijigeuza
huku na huko huku nikiwa nimeingiza mkono wangu kwenye naniliu na kuisugua
sugua kidogo ili ule ugwadu utoke. Nilijikuta na kuwa uhitaji mkubwa sana wa
mwili wa mwanamke hasa pale nilipozidi kumfikiria yule mtoto.
“Mmmh! Huyu
mtoto wa dawa nini?Mbona namfikiria kiasi hiki?Kwani utamu wake upo kiasi gani
hadi nishinde nimeweka mkono wangu kwenye mdudu?”.Nilijikuta najisemea mwenyewe
huku bado namsugua sugua P kwa mikono yangu migumu kama stili waya.
“Na kesho
akija natoa haya machungu yote.Nitampa madude hadi akimbie hapa kwao na
kunitafuta popote nilipo duniani.Mimi ndio P bwana,miaka ishirini na tatu
lakini mkware wa malavi davi kama na miaka arobaini.Ngoja aje sasa”.Niliendelea
kuwaza mwenzenu na baada ya kuona nazidi kuelemewa,ilinibidi ninyanyuke na
kuelekea bafuni kupoteza hali ile.
*************
Kesho yake
ikafika,na jana ambayo nilifanya mchezo mbaya na Sheila,kaka yangu alirudi na
kunipa taarifa niondoke baada ya mwezi mmoja na nusu kwa kuwa yeye ajajiandaa
sana kifedha kwa ajili ya kupeleka nyumbani chochote.Kama unakumbuka nilikwambia
kaka yangu yule anajenga maeneo ya Sanawari.
Nilijidai
nimepoa kidogo ila moyoni nilishangilia sana taarifa zile kwani zitanipa uhuru
wa kuenjoy na mtoto Shei,mtoto wa moto ambaye ukiweka kichwa tu pangoni,tayari
unamwaga wazungu wako wa kutosha.
Asubuhi hiyo
kaka aliniaga na kuniambia atarudi baada ya wiki moja,na mimi sikuwa na
kipingamizi kwani shughuli zake ndizo zinamuweka kuwa bize kiasi hicho.
Baada ya
kuondoka,nilikaa zangu kwenye kochi na kutabasamu kwa furaha juu ya taarifa
zile,na niliamini ningechapa Sheila kila ambapo ningemuhitaji.Lakini kwa kuwa
tulipanga marudio ya mechi yawe kesho yake,basi nilivumilia na kujiwekea CD
yangu ya play station,ambayo ilikuwa na game la GTA San Andres. Nikaanza
kucheza game lile kuanzia asubuhi ile ya saa mbili hadi mida ya saa saba.
Nilitoka nje
kidogo na kuangalia mazingira,kisha nikaelekea kwenye kibanda kimoja cha
kuchoma chips. Nikaagiza kiepe yai na kurudi zangu ndani. Huko nilifungua
jokofu na kutoa juisi moja ya Cares na kuanza kuishusha taratibu sambamba na
kile kiepe.
Baada ya
kuridhika na msosi ule wa kisharo. Nikabofya sehemu ya play kwenye pad zangu za
kuchezea game,na hapo nikaendelea kucheza game lile gumu ambalo hadi leo
sikuwahi kulimaliza.
***************
Saa moja za
usiku,nilitoka tena nje na kuelekea kwa rafiki yangu yule aitwaye Gasper.Huko
nilienda na nilimkuta katulia chumbani kwake huku anasikiliza album moja ya
Crazy GK ile ya Nikupe Nini. Albamu ile nilimpa mimi kutokana na kuwa mpenzi
mkubwa wa nyimbo za Crazy GK.
“Ahaaa. Mzee
P. Naona umenikumbuka leo”.Alinipokea kwa furaha Gasper huku anapunguza sauti
ya redio yake.
“Kaka nipo
asee.Sema mambo kibwena kiasi.Vipi buku lakini”.Na mimi niliitika kwa furaha
huku nikigonga naye bega la kushoto na kulia na kisha akanikaribisha nikae kwenye
kiti kimojawapo kilichopo mle ndani.
“Daah!Hapa
nimebakiza wiki tatu nirudi skonga kupambana.Vipi wewe,si ulisema baada ya wiki
mbili ndo unasepa,sasa hivi umebakiza wiki moja,si ndio eeh”.Aliongea Gasper.
“Aaaag.Bro
kanipa tena mwezi mmoja na nusu ili atafute mpunga wa kwenda kuwapa wazee kule
home”.Nilimjibu.
“Daah!Kwa
hiyo una mwezi mwingine hapa jijini?”.Aliniuliza tena.
“Yaap,kama
kawa. Bado napambana hapa mjini”.Nami nilimjibu.
“Daah! Haya
bwana.Vipi wale watoto,umekula na yule mwingine?”.Aliniuliza swali ambalo ndilo
hasa lilinipeleka pale. Nilikuwa nataka kumuhadithia mkanda mzima uliotokea
jana yake.
“Nimekula
jana bwana. Nimepiga viwili yule mtoto Shei”.Nikamjibu huku nimetoa tabasamu la
ushindi.
“Acha
bwana.Ina maana nacho umekitafuna?”.Jamaa aliniuliza kama hakuamini maneno
niliyomwambia.
“Kama
kawa,alianza kushoboka mwenyewe na mimi nikafurumua”.
“Daah!We
nyoko mse@@@@ wewe. Duuuh! Kweli we ndio mtoto wa mfalme.Ehee ilikuwaje mpaka
akaingia king”.Gasper sasa alitaka mkanda mzima na mimi bila kusita nikaanza
kumpa moja mpaka namba ya mwisho ya mambo yaliyotokea.
“Daah!una
bahati boya wewe.Sisi wengine tutasubiri sana tutokewe na hayo mazari”.Aliongea
Gasper baada ya mimi kumaliza mkanda wangu.`
“Usijali
mkubwa.Mbona haya mambo ize tu!”.Nilimjibu na kumfanya akae kimya bila
swali.Nikakata ukimya ule kwa kuendeleza stori ileile lakini kwa maswali.
“DaaH!Ila
mtoto wajanja wameshawahi kumfungua paja.Sijui nani huyo mwenye bahati,waweza
kuwa wajua?”.Nilimuuliza Gasper.
“Dah! Halafu
sikukwambia eeh!Kuna jamaa mmoja hivi alihamishwa mji na yule baba yao.Alikuwa
anakula yule mtoto wakati yupo kidato cha tatu.Nahisi ndiye alimtoboa”.Gasper
alinijibu.
“Kwani baba
yao anakazi gani hadi aamishe watu miji?”.Nilimuuliza tena.
“Aaag,sijafahamu,ila
kabla sijasepa au hata niklisepa,nitakupigia simu baada ya kujua ishu za huyo
mzee.Kuna mtu namjua,nitamuuliza kwani nasikia yeye anafahamu sana historia ya
ile familia,na ndiye aliyeniambia juu ya huyo jamaa kuamishwa mji”.
“Daah!Poa
mwana.Ngoja mimi nirudi skani kufanya mengine.Ila kesho,anakuja tena kucheza na
mdudu.Atakoma sasa”.Nilimwambia huku nafungua mlango na yeye alicheka tu! Na
kuniacha nikiondoka pale kwao ambapo alikuwa anaishi na wazazi wake.
*****************
Kesho yake
kamanda,nikawahi kuamka na kuanza kusafisha mazingira ya pale nyumbani.Na baada
ya hapo nikahamia ndani na kupapamba vizuri kwa ajili ya ugeni wowote
utaojitokeza.
Mida ya saa
nne nilikuwa nimekaa mbele ya luninga yetu nikicheza kama kawaida GTA San
Andres. Nilicheza sana siku ile,hadi mida ya saa saba ndipo nilikumbuka kwenda
kupata msosi wangu palepale kwenye kibanda cha kuchoma chips.
Baada ya
kula,nilirudi zangu ndani kwetu ambapo wakati nafungua mlango nilisikia mtu
akija nyuma yangu na kunitekenya,nilipogeuka niligundua kuwa ni Shei akiwa
kapendeza kuliko siku zote nilizowahi kumshuhudia pale nyumbani.
Macho yake
aliyapaka shadow,na pale karibu na kope za macho yake,alipaka sijui vinini
vinang’aa hivi,vya rangi ya silva. Juu
ya macho yake ambapo kuna nyusi,pale alizichonga vizuri na kuwa nyembamba,na
nahisi aliongezea khungu kwani jicho lake lilikuwa kama katoka kuvuta
bangi.Jicho legelege mpaka nikahisi linaweza kudondoka chini halafu ikawa
balaa.
Blazia
alivaa ya pink na ndani yake hakuvaa kitu,na hata pale nilipogeuka na kuangalia
nani kanitekenya.Nilijikuta namrudishia kile kitendo chake kwa kuminya chuchu
yake kiustadi kabisa hadi nikamwona kama anataka kuanguka. Nilimuacha na
kufungua mlango wangu kisha nikamkaribisha aingie ndani.
Aliponipa
mgongo,niliona kitambi unguja chake alichokibeba,kikiwa kimebanwa vizuri kabisa
na sketi moja ya kimini rangi ya dhahabu na yenye mabaka kama ya chatu.Mtoto
alikuwa kapendeza hasa.
Niliingia na
mimi ndani na kufunga mlango,kisha nikamgeukia ambapo alikuwa hata hajakaa
kwenye kochi.Kwa kuwa nilikuwa na mausongo,nilimvamia kwa fujo na kuanza kumla
mate huku namwondoa ile blazia yake.
Baada ya
hapo nilimtoa sketi yake wakati huo yeye alikuwa ananitoa fulana yangu.
Haikuchukua muda tayari wote tulikuwa kama tunaoga vile. Bado tulikuwa
tumesimama pale sebuleni huku tunapapasana.
Chombezo linazidikunoga hakikisha haikupiti hata siku moja.
:: Endelea ku LIKE PAGE YETU na ku COMMENT chombezo hili kali na lakusisimua.
:: Kwa wale watakaokuwa waki SHARE 100 wa kwanza nitawapa kipaumbele kwa kuwa TAG chombezo hili kila litakapokuwa likitoka litakuwa katika wall yao
MPANGAJI sehemu ya 20 itaendelea tena kesho HAPA.
:: Kwa wale watakaokuwa waki SHARE 100 wa kwanza nitawapa kipaumbele kwa kuwa TAG chombezo hili kila litakapokuwa likitoka litakuwa katika wall yao
MPANGAJI sehemu ya 20 itaendelea tena kesho HAPA.
PATA NEWS NA SIMULIZI FASTA, LIKE PAGE YETU HAPA ==> 2JIACHIE
Post a Comment