ad

ad

REDIO 5 WAFUNGUA MWAKA KWA KUFANYA TAMASHA


DSCF2600Timu ya AJTC ikiwa katika picha ya pamoja baada ya kunyakuwa ushindi katika tamasha la fungua mwaka na redio 5 lililoandaliwa na kampuni ya Tan media jijini Arusha katika viwanja vya Sheikh Amri Abeid
DSCF2553Muonekano wa wachezaji wakiwa uwanjani
DSCF2593Kulia ni meneja mbunifu wa redio 5 Vicky Mwokoyo akiwa na MC Victoria wakijadili jambo
DSCF2562Mtangazaji maarufu wa kituo cha redio 5 Semio Sonyo akijadili jambo na baadhi ya wachezaji
DSCF2552Nyama choma pia ilikuwepo
DSCF2556 
DJ akifanya yake kuwapa burudani wakazi wa Arusha
DSCF2557Mashabiki wakiangalia burudani kutoka kwa wasanii wa Arusha
DSCF2564Timu ya Highridge ikipokea zawadi ya saa kutoka kwa mtangazaji Semio Sonyo baada ya kushika nafasi ya pili
DSCF2577 
Mmiliki wa jamiiblog akishow love na kikundi cha kck spark katika tamasha la fungua mwaka na Redio 5
DSCF2569
DSCF2589
DSCF2634K-vant gin nao walikuwa wadhamini wa tamasha hilo
DSCF2629Jambo squard wakiwapa burudani wakazi wa Arusha
DSCF2584 
Kulia Mtangazaji maarufu wa redio 5 Linus Kilembu kushoto producer BR tukishow love
DSCF2587Miondoko ya archuga pia ilichezwa
DSCF2632Mashabiki wakiangalia burudani
DSCF2627
DSCF2619 
Wadau muhimu pia walikuwepo kwenye tamasha
DSCF2629
Powered by Blogger.