SHARO MILIONEA ATIMIZA MWAKA TANGU ALIPOFARIKI
Marehemu Hussein Ramadhani Mkieti ‘Sharo Millionea’( 1985 - 2012 ) enzi za uhai wake.
Marehemu Sharo Milionea alifariki dunia
tarehe 26 Novemba , 2012 kwa ajali mbaya ya Gari aina ya Toyota Harrier
lenye namba za usajili T 478 BVR wakati akitoa Dar es Salaam kueleka
wilayani Muheza, Tanga.Alipofika maeneo ya maguzoni nje kidogo na
wilayani Muheza gari lake liliacha njia na kupinduka mara kadhaa,
likagonga mti na kusababisha kifo chake na yeye kutokea mbele ya kioo
cha gari na kutupwa mbali.

Post a Comment