ad

ad

Katibu wa CCM adaiwa kumpiga diwani wa Mwanga

Dar es Salaam.  Diwani wa Kata ya Mwanga Kusini  kupitia CCM mkoani Kigoma, Anord Mtewele,  amemlaumu Katibu wa CCM Mkoa wa Kigoma, Mohamed Nyawenga akidai alimshambulia na kumdhalilisha kwa kumpiga na kumtolea lugha chafu.
Mtewele alisema  bosi wake huyo alimtendea hayo siku ya Jumapili  iliyopita mchana akiwa kwenye gereji iliyoko Mwanga Kaskazini ambako gari lake lilikuwa likikarabatiwa.
“.
Katibu wa CCM mkoani Kigoma Nyawenga alipoulizwa kwa simu na gazeti hili alionyesha kushangaa juu ya suala hilo huku akisema hajawahi kulifanya.
“Kwanza nakushangaa kusema nilimshambulia na kumpiga, wala sijawahi kumwona na hata mimi nimesikia maneno hayo kwa watu, (simu ikakatika).”
Powered by Blogger.