Kwa namna hii nishaona kila dalili za ICC..... Too sad " Msafara wangu umevamiwa na wanaccm wakati nikitoka kijiji cha mangucha kwenda kegonga watu wetu wameumizwa na mmoja amefariki dunia" Msg ya Heche kanithibitishia sasa hivi.... Source: Jamii Forums
Post a Comment