ad

ad

Vurugu Mara: Msafara wa Heche wavamiwa, Mwanachama mmoja wa CHADEMA Afariki



Kwa namna hii nishaona kila dalili za ICC..... Too sad
" Msafara wangu umevamiwa na wanaccm wakati nikitoka kijiji cha mangucha kwenda kegonga watu wetu wameumizwa na mmoja amefariki dunia" Msg ya Heche kanithibitishia sasa hivi....
Source: Jamii Forums

Powered by Blogger.